Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Baraza la Wanawake wa Chadema limekanusha kuitisha kongamano lolote linalohusiana na BAWACHA , hivyo halitambui kongamano lolote litakalofanywa kwa kutumia jina lao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi sioni sababu ya hawa ndugu akina Halima Mdee, et al,. kuhangaika wakati wamehakikishiwa ubunge na kwamba watalindwa kwa nguvu zote. Sasa tatizo ni nini? Si waendelee kushona suti za kuingilia bungeni?Kwani H.Mdee na genge lake si wameshaahidiwa kulindiwa ugali wao na Ndugai, wamesahau nini CDM??
Mdee na kundi lake wanakuwa maarufu wakiwa ndani ya chadema, wakiwa nje ya chadema au bila kuitumia platform ya chadema silolote mbele ya jamii.Kwani H.Mdee na genge lake si wameshaahidiwa kulindiwa ugali wao na Ndugai, wamesahau nini CDM??
Upo sahihiHuyo siyo Halima Mdee bali ni CCM!
Umamaliza shughuli mzimaShida sio Wamama - 19, Tatizo and Shida ya Nchi Hii ni CCM.
😆😆😆😆Halima ameamua kuwa Lipumba wa kike
CCM wanahangaika kweli na hawa COVID -19 namna ya kutengeneza mapasuko CDM ila wanakwama kila mbinu.