Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Mbowe hajawahi kufeli kwa hila za maccmHalima Mdee a .k .a Delila wa Tanzania na genge lake wamepangwa kuanzisha mgogoro kwenye chama Kama ule wa CUF ila ndio kila wakijaribu wanafeli .
Hivi ww umepewa Milion 90 unalipwa Milion 11 kwa mwezi, unalipwa posho laki tatu kwa siku za vikao, utaangaika na watu wambao hawakupi anything?CCM wanahangaika kweli na hawa COVID -19 namna ya kutengeneza mapasuko CHADEMA ila wanakwama kila mbinu.
Hivi ww umelipwa Milion 90 unalipwa Milion 11 salary, bado unapewa laki tatu ya posho za vikao, bima kubwa ya afyaKwani H. Mdee na genge lake si wameshaahidiwa kulindiwa ugali wao na Ndugai, wamesahau nini CHADEMA?
Ukumbuke pia hizo ni fedha za wanyonge!!,amakweli maccm ni vichwa vya wendawazimuHivi ww umepewa Milion 90 unalipwa Milion 11 kwa mwezi, unalipwa posho laki tatu kwa siku za vikao, utaangaika na watu wambao hawakupi anything?
Hizo ni taarifa za uongo Yan chadema Leo wanatafuta kiki in simple language
Naona Halima Mdee anamchokoza Mbowe!Baraza la Wanawake wa Chadema limekanusha kuitisha kongamano lolote linalohusiana na BAWACHA , hivyo halitambui kongamano lolote litakalofanywa kwa kutumia jina lao.
View attachment 1651556View attachment 1651558
kutoka kuwa kamanda mpaka kumiliki genge la utapeliHalima ameamua kuwa Lipumba wa kike
Hakuna Ugali wa bure, lazima waihujumu chadema ndio kazi iliooo mbele yao.Kwani H. Mdee na genge lake si wameshaahidiwa kulindiwa ugali wao na Ndugai, wamesahau nini CHADEMA?
Kipo sana mkuu.Kwani hili chama cha DJ bado kipo nikajua kimeamua to a remix za wakimbizi na waliobaki washapewa ruhusu ya mwenyekiti DJ waingie bungeni....nyumbu bana
Mbowe muungwana anawasubiri wakate rufaa.
Halima ameamua kuwa Lipumba wa kike
Wanafeli vipi wakati mgogoro umetamalaki hapo...Halima Mdee a .k .a Delila wa Tanzania na genge lake wamepangwa kuanzisha mgogoro kwenye chama Kama ule wa CUF ila ndio kila wakijaribu wanafeli .
Uchonganishi ni tabia ovu sana kwa ustawi wa jamii. Ni mbegu inayosambaa kwa kasi , mbeleni tutaijutia. Itafika hatua uchonganishi kiwe kigezo cha kupata kazi au cheo!CCM wanahangaika kweli na hawa COVID -19 namna ya kutengeneza mapasuko CHADEMA ila wanakwama kila mbinu.
Watu makini wote wameondoka Chadema!kutoka kuwa kamanda mpaka kumiliki genge la utapeli
Menopause inamsumbua Halima.Halima ameamua kuwa Lipumba wa kike
Hatukatai kupata hizo pesa shida ni uhalali wa kuingia huko bungeni inaenda kuwa kituko cha bunge linavyo endeshwa dunianzimaHivi ww umepewa Milion 90 unalipwa Milion 11 kwa mwezi, unalipwa posho laki tatu kwa siku za vikao, utaangaika na watu wambao hawakupi anything?
Hizo ni taarifa za uongo Yan chadema Leo wanatafuta kiki in simple language