Halima Mdee na wenzake kulamba asali hivi karibuni

Halima Mdee na wenzake kulamba asali hivi karibuni

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Wabunge 19 kutimuliwa chamani, ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi ni suala la muda tu.

Ni wazi Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu. Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida. Hebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama, hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake. Kwakuwa Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
 
Mzee Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.
Ina maana hivyo vyeo vilikuwa wazi vikiwasubiri wafukuzwe ?
 
Ina maana hivyo vyeo vilikuwa wazi vikiwasubiri wafukuzwe ?

Nafasi zimejaa ila wataondolewa na kupangiwa majukumu mengine na wengine watatenguliwa ili kupisha damu changa.
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Covid 19 kutimuliwa chamani,ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi,ni suala la muda tu.

Ni wazi Mzee Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu.Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida.Ebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama,hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake.Kwakuwa Mzee Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Mzee Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
Halima ni Mzee?
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Covid 19 kutimuliwa chamani,ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi,ni suala la muda tu.

Ni wazi Mzee Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu.Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida.Ebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama,hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake.Kwakuwa Mzee Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Mzee Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
Warudishe pesa walioitafuna! Laa sivyo itatokea kwenye tundu lolote?
Kesi ya Kuhujumu Uchumi Inawahusu[emoji24][emoji24]
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Covid 19 kutimuliwa chamani,ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi,ni suala la muda tu.

Ni wazi Mzee Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu.Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida.Ebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama,hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake.Kwakuwa Mzee Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Mzee Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
Kikubwa kupiga miti na mkono kwenda kinywani ukisubiria kufaaaaaa
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Covid 19 kutimuliwa chamani,ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi,ni suala la muda tu.

Ni wazi Mzee Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu.Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida.Ebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama,hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake.Kwakuwa Mzee Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Mzee Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
Afadhali walambe asali wakati wameshapokea hukumu yao ambayo ilikuwa haki yao
 
Mzee Halima Mdee.🤔🤔
CHSM110.jpg
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Wabunge 19 kutimuliwa chamani, ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi ni suala la muda tu.

Ni wazi Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu. Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida. Hebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama, hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake. Kwakuwa Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
Kumbe siku hizi ni kulamba asali sio kula kwa urefu wa kamba yako tena?
 
Bunge kukosa watu kama kina Sugu, halima, bulaya, matiku linapooza
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Wabunge 19 kutimuliwa chamani, ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi ni suala la muda tu.

Ni wazi Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu. Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida. Hebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama, hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake. Kwakuwa Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
CCM hii sio ile ya Kuhongana VYEO
WANACCM kibao Wamejaa wanasubiri hizo Nafasi Mama Samia anawaheshimu wana CCM Wenzake sio Wasaliti

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Wabunge 19 kutimuliwa chamani, ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi ni suala la muda tu.

Ni wazi Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu. Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida. Hebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama, hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake. Kwakuwa Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
Sawa mzee mdee
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Wabunge 19 kutimuliwa chamani, ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi ni suala la muda tu.

Ni wazi Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu. Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida. Hebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama, hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake. Kwakuwa Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
Nimewaona wanao ota mchana wengi ila wewe ni FIRST CLASS.Subiri, utawaona hapa hapa bongo wakihangaika kutafuta mkate wao wa kila siku. Siasa waliyo ifurahia ilikuwa inapatikana CHADEMA TU, huko kwingine hawatayafurahia maisha hata kidogo. Time will tell.
 
Back
Top Bottom