Halima Mdee na wenzake kulamba asali hivi karibuni

Halima Mdee na wenzake kulamba asali hivi karibuni

Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Wabunge 19 kutimuliwa chamani, ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi ni suala la muda tu.

Ni wazi Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu. Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida. Hebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama, hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake. Kwakuwa Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
That will never happen!
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Wabunge 19 kutimuliwa chamani, ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi ni suala la muda tu.

Ni wazi Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu. Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida. Hebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama, hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake. Kwakuwa Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
amka ukakojoe usiendekeze ndoto!!
 
Kwa awamu hii sahau.

Yaani sisi tuko chamani muda mrefu alafu tutoswe wapewe hao waamihaji, haiwezekani!
 
Nitaishangaa hii serikali ya Samia inayodai imeanza kutibu majeraha ya awamu iliyopita ikiwakumbatia hao wanawake na kuwapa vyeo.

Samia akifanya hivyo ataonesha dhahiri kwa vitendo mbele ya macho ya ulimwengu kuwa hizi juhudi zake za kuleta maridhiano ni usanii mtupu.
 
Mama wa kiislamu hawezi kurithi uchafu...kifupi kund la Covid-19 limekufa na kuzikwa rasmi jana kila mmoja na lwake kwa sasa.

Kuna baadhi nawaona wakiomba radhi na kuomba uanachama upya CDM.
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Wabunge 19 kutimuliwa chamani, ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi ni suala la muda tu.

Ni wazi Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu. Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida. Hebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama, hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake. Kwakuwa Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
Usiwaamini watawala haswa Wana CCM, wakudanganya Ili wafanikishe ajenda zao Kisha wanakutelekeza
 
Usiwaamini watawala haswa Wana CCM, wakudanganya Ili wafanikishe ajenda zao Kisha wanakutelekeza

Mzee Halima Mdee atapangiwa Ukraine nafasi ipo wazi.

Umahiri wa Mzee Halima Mdee unaweza kusaidia kumaliza Vita baina ya Ukraine na Russia.
 
😂😂😂 Kijana unaleta masihara Ile vita itamalizwa pale Vatican na Russia Orthodox watakapokaa chini na kumaliza vita
Mzee Halima Mdee atapangiwa Ukraine nafasi ipo wazi.

Umahiri wa Mzee Halima Mdee unaweza kusaidia kumaliza Vita baina ya Ukraine na Russia.
 
For the good of the country hawatapewa chochote, maana itaonekana serikali inabariki forgery
 
For the good of the country hawatapewa chochote, maana itaonekana serikali inabariki forgery

Forgery walifanya wao au walisaidiwa na mamlaka fulani ?.Kuna Binti alitolewa gerezani usiku usiku na kupewa ubunge unafikiri aliyefanya hayo yote ni Covid 19 ?.
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Wabunge 19 kutimuliwa chamani, ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi ni suala la muda tu.

Ni wazi Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu. Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida. Hebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama, hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake. Kwakuwa Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
Nitashangaa sana!
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Wabunge 19 kutimuliwa chamani, ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi ni suala la muda tu.

Ni wazi Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu. Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida. Hebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama, hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake. Kwakuwa Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
Ester Bulaya ni Usalama wa Taiga.
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Wabunge 19 kutimuliwa chamani, ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi ni suala la muda tu.

Ni wazi Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu. Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida. Hebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama, hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake. Kwakuwa Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
Vipi Nyalandu si ndio aanze??

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Matajari wanapaki malori dizel haikamatiki alfu mnaongea nni
 
Heshima sana wanajamvi,

Baada ya Wabunge 19 kutimuliwa chamani, ahadi yao ya kupewa ulaji mkubwa na heshima kubwa ipo wazi ni suala la muda tu.

Ni wazi Halima Mdee ni kiongozi wa kundi la wanawake walioamua kujipeleka Mjengoni pasipo ridhaa ya chama wala baraka za viongozi wakuu. Ni wazi pia Halima na kundi lake waligushi saini,mihuri na nyaraka za chama ili kufanikisha mpango mzima.Katika nchi zinazo heshimu Katiba,Sheria na Taratibu jambo kama hili kamwe haliwezi kufanyika.

Tanzania ya Dear Leader Dr Magufuli ukiukwaji wa katiba lilikuwa jambo la kawaida sana,hadi wanazuoni na wabobezi wa fani mbali mbali walishakubali na kuona ni utaratibu wa kawaida. Hebu fikiri hata kwa dakika moja Wabunge 19 ambao hawana barua ya chama, hawana baraka rasmi na utaratibu rasmi wa Tume ya Uchaguzi,wanakula kiapo garage na wanatambulika kama wabunge halali wa chama.

Pamoja na ukweli kwamba siasa zimeanza kubadilika tangu Mama ashike hatamu za kuongoza nchi,lakini tayari makosa yalishafanyika chini ya mtangulizi wake. Kwakuwa Halima Mdee kakubali kufa na kamba shingoni lazima waliomtumia hata kama ni nje ya utaratibu wawapatie vijinafasi vya kuendelea kuhemea.

Halima Mdee nafasi ya Ubalozi katika nchi za EU ilikuepukana na fedhea ya kuitwa msaliti ipo wazi kabisa.Wengine nafasi za DC na Katibu Tawala zinawangojea kwa shauku kubwa.

Ngongo kwasasa Uganda.
Ndugu Ngongo habari ya Burundi ,wasalamie hapo Bujumbura,pia amka kwani ndoto inakupa matumaini makubwa mno.
 
Back
Top Bottom