johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa...... Ufipa ndio hawana maendeleo bwashee!Maendeleo hayana vyama na vyama havina maendeleo
Vile shem huwa anakupa kichapo siku nikiunguza kibanda!Maendeleo hayana vyama na vyama havina maendeleo
Pamoja na kuwa wewe ni CCM lakini kwa hili nakuunga mkono.Nawashauri tu wale wabunge 19 waliofukuzwa Chadema kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba mbunge wa viti maalumu CCM.
Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.
Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.
Kwa sasa Simba ni mbunge wa viti maalumu kupitia CCM ile ile.
Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Thubutuuuuππππ mkuu unanionea sana ntaama jukwaa la siasaVile shem huwa anakupa kichapo siku nikiunguza kibanda!View attachment 1636777
Halima naambiwa ni mwanasheria, alikuwa hajui hilo mpaka aambiwe na mzee Msekwa? wangeenda kumuuliza kabla ya kuingizwa mkengeNawashauri tu wale wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba mbunge wa viti maalumu CCM.
Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.
Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.
Kwa sasa Simba ni mbunge wa viti maalumu kupitia CCM ile ile.
Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Sabato njema.
Subiri sabato takatifu ipite ndo ufanye siasa, if you are really sabbath keeper,God of sabbath is bigger than Tanzanian politicsNawashauri tu wale wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba mbunge wa viti maalumu CCM.
Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.
Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.
Kwa sasa Simba ni mbunge wa viti maalumu kupitia CCM ile ile.
Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Halima ndala ndefu tumeshazika sisiNawashauri tu wale wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba mbunge wa viti maalumu CCM.
Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.
Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.
Kwa sasa Simba ni mbunge wa viti maalumu kupitia CCM ile ile.
Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Halima Mdee a.k.a.Delila maskini Yuda Iskarioti wa kike anaenda kuwa kama Lipumba profesa uchwara .Nawashauri tu wale wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba mbunge wa viti maalumu CCM.
Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.
Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.
Kwa sasa Simba ni mbunge wa viti maalumu kupitia CCM ile ile.
Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Nyinyi watu wabaya sana hata shetani anawaogopa, mmewaingiza mkenge, wakaangushiwa chuma chenye ncha kali sasa mnajifanya Angaza kutowa ushauri nasaha!Nawashauri tu wale wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba mbunge wa viti maalumu CCM.
Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.
Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.
Kwa sasa Simba ni mbunge wa viti maalumu kupitia CCM ile ile.
Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Kama vyama havina maendeleo mbona kile cha kijani kina ma V8 mengi hivyoMaendeleo hayana vyama na vyama havina maendeleo
πππππHahahaaaa...... Ufipa ndio hawana maendeleo bwashee!
Na chauma kina ninin?Kama vyama havina maendeleo mbona kile cha kijani kina ma V8 mengi hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app