guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
Uyooooooo Halima mdeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa hivi siku zote ..nyuzi zako zingesomw sana kuliko maelezo .Nawashauri tu wale Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba Mbunge wa Viti Maalum CCM.
Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.
Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza Ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.
Kwa sasa Simba ni Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM ile ile.
Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Maendeleo hayana vichwaNawashauri tu wale Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba Mbunge wa Viti Maalum CCM.
Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.
Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza Ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.
Kwa sasa Simba ni Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM ile ile.
Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Mchambuzi wa nini?Maendeleo hayana vichwaView attachment 1636819
Sasa hapa umeongea point, kuwa waache kulialia yule aliyewatumia watulie atawafikilia. Umeona mbali sanaNawashauri tu wale Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba Mbunge wa Viti Maalum CCM.
Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.
Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza Ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.
Kwa sasa Simba ni Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM ile ile.
Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Wale wengine wanaweza samehewa, labda, ila huyu "tomboy" H Mdee ni jeuri sana, sijuwi itakuwaje...Nawashauri tu wale Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba Mbunge wa Viti Maalum CCM.
Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.
Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza Ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.
Kwa sasa Simba ni Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM ile ile.
Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Ndugai kasema wazi hapotezi mtu ubunge ..utemi utemiMama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza Ubunge " halali"