Halima Mdee na wenzake wakapate ushauri nasaha kwa Mama Sophia Simba, kuna maisha bila Ubunge wasiogope

Halima Mdee na wenzake wakapate ushauri nasaha kwa Mama Sophia Simba, kuna maisha bila Ubunge wasiogope

Nasikia kuna wanasheria wameona wanafaa kuendelea kuwa wabunge.

Nawaonea huruma kwavile najua wameponzwa na hela tu.
Lakini sasa wanaaibika. Hata kama watabakishwa bungeni ,, kwaajili ya heshima yao ni bora wakaukataa huo ubunge wa magumashi.

Warudi nyumbani watathmini mambo yao kisha waangalie jinsi ya kurudisha heshima yao.

Naamini hasira za watanzania hasa wana- cdm zitakapokuwa zimepoa wataweza kuwasamehe kirahisi kabisa na watarudi kwenye anga zao zilizowapa heshima.
 
Nawashauri tu wale Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba Mbunge wa Viti Maalum CCM.

Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.

Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza Ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.

Kwa sasa Simba ni Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM ile ile.

Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.

Sabato njema.

Maendeleo hayana vyama!
Ungekuwa hivi siku zote ..nyuzi zako zingesomw sana kuliko maelezo .
Ila kuna muda akili hua zinakuruka Mh Yohana
 
Nawashauri tu wale Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba Mbunge wa Viti Maalum CCM.

Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.

Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza Ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.

Kwa sasa Simba ni Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM ile ile.

Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.

Sabato njema.

Maendeleo hayana vyama!
Maendeleo hayana vichwa
Screenshot_20201128-165113_Twitter.jpeg
 
Nawashauri tu wale Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba Mbunge wa Viti Maalum CCM.

Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.

Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza Ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.

Kwa sasa Simba ni Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM ile ile.

Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.

Sabato njema.

Maendeleo hayana vyama!
Sasa hapa umeongea point, kuwa waache kulialia yule aliyewatumia watulie atawafikilia. Umeona mbali sana
 
Nawashauri tu wale Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba Mbunge wa Viti Maalum CCM.

Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.

Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza Ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.

Kwa sasa Simba ni Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM ile ile.

Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.

Sabato njema.

Maendeleo hayana vyama!
Wale wengine wanaweza samehewa, labda, ila huyu "tomboy" H Mdee ni jeuri sana, sijuwi itakuwaje...
 
Back
Top Bottom