Halima Mdee na Wenzake walikosea kwenda na waandamanaji

Halima Mdee na Wenzake walikosea kwenda na waandamanaji

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Wakati akina Halima Mdee wanakuja ukumbini, walisindikizwa na wanawake Kama 30 ambao sio wajumbe wa mkutano, wakawa wanaimba tunamtaka Halima wetu.

Hilo lilikuwa dosari kubwa Sana. Hata Kama Kuna wajumbe wa baraza kuu walikuwa na lengo la kuwasamehe baada ya kuona kile kitendo, wakaamua kubadilika maamuzi.
 
Lile kundi nililiona nikahisi ndio watakuwa walinzi wake, kumbe walikuwa wapambe.

Hakujua mambo muhimu kama haya ya kuamua destiny huwa hayahitaji vigelegele, ule haukuwa mkutano wa kitchen party.
 
Ana brand amejitengenezea tayari, akiitumia vizuri wanawake watavutwa kwake. Wa chama chochote hata wasio na chama.
Ndugu ukishakuwa Yuda, Yuda, ujue Mungu ameshakutupa!! Siasa ni very volatile, ukiharibu umejizamisha!! Huw zi pata hata support ya kipofu
 
Wakati akina Halima Mdee wanakuja ukumbini, walisindikizwa na wanawake Kama 30 ambao sio wajumbe wa mkutano, wakawa wanaimba tunamtaka Halima wetu. Hilo lilikuwa dosari kubwa Sana. Hata Kama Kuna wajumbe wa baraza kuu walikuwa na lengo la kuwasamehe baada ya kuona kile kitendo, wakaamua kubadilika maamuzi.
Kuchinjwa ni kuchinjwa tu weather kichwa kielekezwe kibra ama wapi bisu limepita.
 
Wakati akina Halima Mdee wanakuja ukumbini, walisindikizwa na wanawake Kama 30 ambao sio wajumbe wa mkutano, wakawa wanaimba tunamtaka Halima wetu. Hilo lilikuwa dosari kubwa Sana. Hata Kama Kuna wajumbe wa baraza kuu walikuwa na lengo la kuwasamehe baada ya kuona kile kitendo, wakaamua kubadilika maamuzi.
Si ndo uhuru na haki ambao cdm inapigania! Au?
 
Lile kundi nililiona nikahisi ndio watakuwa walinzi wake, kumbe walikuwa wapambe.

Hakujua mambo muhimu kama haya ya kuamua destiny huwa hayahitaji vigelegele, ule haukuwa mkutano wa kitchen party.
Alichukulia poa, hakuna mkubwa kuliko Chama, hata Mbowe akizingua anang'olewa tu.
 
Back
Top Bottom