Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
vipi Lowasa alivyohama na lile kundi lake karibia wenyeviti wote wa mikoa CCM ilikufa ?kumbe ana kundi kubwa hivyo? Akihamia ACT ataiua CHADEMA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi Lowasa alivyohama na lile kundi lake karibia wenyeviti wote wa mikoa CCM ilikufa ?kumbe ana kundi kubwa hivyo? Akihamia ACT ataiua CHADEMA.
Ndugu yangu tatizo siku zote ukileta 'mihemko' kwenye nyakati zinazohitaji utulivu na busara kwa changamoto zinazokukabili, matokeo yake mara nyingi ni hasi.....badala ya kupokea maamuzi yaliyofanywa na kwenda kuyatafakari kwa mapana, unaishia tena kukashifu maamuzi tena mbele ya press ukiyaita ya kihuni' na kudai utaendelea kuwa mpenzi wa chama cha 'wahuni'....kaazi kwelikweli....why Halima&Co..msingekubali kuretreat,na kukubali kujishusha na maisha pande zote yaendelee peacefully??? Politics siku zote haihitaji jazba!Wakati akina Halima Mdee wanakuja ukumbini, walisindikizwa na wanawake Kama 30 ambao sio wajumbe wa mkutano, wakawa wanaimba tunamtaka Halima wetu. Hilo lilikuwa dosari kubwa Sana. Hata Kama Kuna wajumbe wa baraza kuu walikuwa na lengo la kuwasamehe baada ya kuona kile kitendo, wakaamua kubadilika maamuzi.
Ni Wazi Halima na wenzake walijua lazima wataadhibiwa. Na adhabu iliyo Wazi ilikuwa ni kufukuzwa uanachama kitendo ambacho kilishatendwa na Kamati kuu na hivyo kupelekea kukosa sifa ya kuwa Wabunge.Ndugu yangu tatizo siku zote ukileta 'mihemko' kwenye nyakati zinazohitaji utulivu na busara kwa changamoto zinazokukabili, matokeo yake mara nyingi ni hasi.....badala ya kupokea maamuzi yaliyofanywa na kwenda kuyatafakari kwa mapana, unaishia tena kukashifu maamuzi tena mbele ya press ukiyaita ya kihuni' na kudai utaendelea kuwa mpenzi wa chama cha 'wahuni'....kaazi kwelikweli....why Halima&Co..msingekubali kuretreat,na kukubali kujishusha na maisha pande zote yaendelee peacefully??? Politics siku zote haihitaji jazba!
One 'Aw, Shit' Wipes out a Thousand Attaboys.Unaambiwa unaweza kuwa smart siku zote lakini ukajikwaa na kuchafua suti yako in a minute time
Kwa blanda ya kosa la kufoji. Itamgharimu kujisafishaAna brand amejitengenezea tayari, akiitumia vizuri wanawake watavutwa kwake. Wa chama chochote hata wasio na chama.
Angekuwepo jiwe angeteua kikosi kazi cha kumsafisha ili aendelee kuleta msuguano chadema. Mana ndio malendo yao kukimaliza, sasa kaondoka, kiuongo mzoefu nae kawekwa pembeni, huu mchezo huu! Wasubiri huruma tu huko mbeleniKwa blanda ya kosa la kufoji. Itamgharimu kujisafisha
Yalikuwa ni maelekezo Ili kuleta mgawanyiko Kwa wajumbe. Naona pia kuchelewa kukaa Kwa balaza kumepunguza mvuto wao ndani ya chama Kwa watu kuujua UKWELI.Wakati akina Halima Mdee wanakuja ukumbini, walisindikizwa na wanawake Kama 30 ambao sio wajumbe wa mkutano, wakawa wanaimba tunamtaka Halima wetu.
Hilo lilikuwa dosari kubwa Sana. Hata Kama Kuna wajumbe wa baraza kuu walikuwa na lengo la kuwasamehe baada ya kuona kile kitendo, wakaamua kubadilika maamuzi.
Kumbe ana kundi kubwa hivyo? Akihamia ACT ataiua CHADEMA.
... yule alijiharishia kabisa!Unaambiwa unaweza kuwa smart siku zote lakini ukajikwaa na kuchafua suti yako in a minute time
CCM hatuna hiana na Mdee na wenzake. Wakiamua kuja kwetu tutawapokea na u-DC juu! Tena wa Hai ili Mbowe akifika Hai anenda kumsalimia Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Wilaya Mh. Halima Mdee!Kumbe ana kundi kubwa hivyo? Akihamia ACT ataiua CHADEMA.
sahihisha, hawakuwa waandamanaji bali ni walinzi wao binafsi.Wakati akina Halima Mdee wanakuja ukumbini, walisindikizwa na wanawake Kama 30 ambao sio wajumbe wa mkutano, wakawa wanaimba tunamtaka Halima wetu.
Hilo lilikuwa dosari kubwa Sana. Hata Kama Kuna wajumbe wa baraza kuu walikuwa na lengo la kuwasamehe baada ya kuona kile kitendo, wakaamua kubadilika maamuzi.
Dah....kikawaida takataka ni nyingi Sana....na ndizo zinazopiga kura 🤣🤣🤣🤣Amejibrand as msaliti of the highest degree. mwenye akili hawezi kumfuata. Atafuatwa na takataka
Atafuatwa na takataka