Uchaguzi 2020 Halima Mdee: Natuhumiwa kumchonganisha Gwajima na madhehebu mengine na waumini wake

Uchaguzi 2020 Halima Mdee: Natuhumiwa kumchonganisha Gwajima na madhehebu mengine na waumini wake

Msigwa je?

Au Gwaji kuwa Ccm ni dhambi ila Msigwa kuwa Chadema ni thawabu?
Tatizo la Gwajiboy ni kula kondoo wake! Pia kuwaibia waumini wake; eti mchungaji ana magari mawili aina ya Hammer (sijui kama una idea ya bei yake?), private jet, etc., wakati waumini wake husalia kwenye uwazi wakipigwa na mvua na jua, huku wakiendelea "kumtolea Bwan"a, kwa kumneemesha Gwajiboy!
 
Hukumu za tume Ni batili kinyume na sheria unatoa vipi hukumu bila kumsikiliza mtetea.
Kwani pono boy wakati anaropoka akujua kuna siku atagombea ubunge
 
Tatizo la Gwajiboy ni kula kondoo wake! Pia kuwaibia waumini wake; eti mchungaji ana magari mawili aina ya Hammer (sijui kama una idea ya bei yake?), private jet, etc., wakati waumini wake husalia kwenye uwazi wakipigwa na mvua na jua, huku wakiendelea "kumtolea Bwan"a, kwa kumneemesha Gwajiboy!
Ni msanii mpigaji angekuwa mchungaji angeshajenga kanisa badala ya kununua hammer magari ya watu washamba shamba hivi
 
Aibu atakayoipata Gwajifix tar 28 hataamini,Hadi ataenda kwa Mbasha kumuomba radhi kwa kuzaa na mkewe.
 
Tulisema Gwajima ni msanii aliyejificha kwenye koti la dini tukabezwa sana..sasa chui halisi anajifunua toka ngozi ya kondoo
Gwajima na Mzee wa Upako binafsi huwa wanaficha uovu wao kupitia kumsifu yesu wa Chato.
 
Asiangaike kukata rufaa, "Mbuzi wa Chale mahindi ya Chale"
 
If you can't take the heat, stay out of the kitchen.....;
Yaani mwanasiasi anaanza kulindwa kwamba asitukanwe au asichonganishwe ?, wanadhani siasa ni nini ?, Mkutano wa Injili ?

This is Bogus, hawa Tume wanaleta mchezo wa ajabu kwa kutumia Kodi zetu ku-finance haya mambo ya ajabu, ajabu.....
Hata dini kwenyewe Ni full kukashifiana. Rejea wasabato wanavyowakashifu Catholics kuwa ni mawakala wa shetani. Sembuse kwenye siasa.
 
Mimi Siyo CDM. Mwenye kit amedai hadharani kuwa alimtosa mtoto wa Dada yake na kumpa huyu tapeli.Nimeuliza ni sifa gani Waliziona kwa huyu muuza unga...!? Kama Hujui nyamaza!!
Ni muumini wa misukule na mizimu kama huyu aliyempitisha. Yaani wapo pamoja kwenye "hizo ibada".
 
Ni msanii mpigaji angekuwa mchungaji angeshajenga kanisa badala ya kununua hammer magari ya watu washamba shamba hivi
Unajua kuna "Wachungaji" na "Wachumaji"???? Wengine wanajiita tu, lakini wapo kanisani kuwachuma waumini!!!
 
Domo, ulimi, kinywa na moyo wa Gwajima kwa madhehebu mengine ndio Tatizo lake. Anatapika matapishi anayeshindwa kuyatetea.

Dhambi hii itamuadhibu Gwajima hapa hapa duniani.
 
Back
Top Bottom