Pre GE2025 Halima Mdee ndiye Mtu Pekee aliyekuwa Sahihi kumpokea Uwenyekiti Mbowe

Pre GE2025 Halima Mdee ndiye Mtu Pekee aliyekuwa Sahihi kumpokea Uwenyekiti Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe kweli hamnazo.

Hivi unajua Halima aliwekwa ndani na utawala hayawani wa CCM mara ngapi? Hizo sifa unazozitoa kwa Halima Mdee, ninyi wanafiki mmeziona baada ya yeye kuondoka CHADEMA? Kama CCM walikuwa wanajua Halima ana sifa hizo ulizozitaja, unadhani kwa nini Serikali ya chama hayawani cha CCM kilimweka jela kila mara Halima Mdee?

Ni kweli Halima Mdee kama walivyo watu wengi waliopo upinzani ana akili na alionekana ana hekima na uwezo wa kupambana na manyang'au ya CCM.

Lakini ndiyo hivyo tena, wanasema ndege mjanja huangukia kwenye tundu bovu. Mwishowe Halima uvumilivu ulimshinda, alishindwa kiyavumilia mateso na madhira ya shetani, akaamua kwenda kuungana na shetani mtesi wake ili asiendelee kuteseka.

Kitendo hicho cha kushindwa kuyavumilia mateso kwa sababu ya kile unachokisimamia, kimemwondolea kuaminika kwa umma na ndani ya chama. Fikiria Halima Mdee ndiye angekuwa alikuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, si tayari angekuwa amekwishaiuza CHADEMA kwa hawa hayawani mafisadi wa CCM wanaouza rasilimali za nchi yetu kwa wageni?

Hata iweje, Halima haiwezekani kwake tena kuja kuwa kiongozi mkuu wa chama chochote cha upinzani, labda chama hicho kiwe chama mamluki cha CCM, kama ilivyo ACT au vile vingine 13.

Umadhubuti wa Mbowe hata mbele ya mateso ya jela, kukubali kuteseka lakini bila kutetereka katika misimamo yake, na kuwakatalia kabisa malaghai ya CCM, kugoma kununuliwa yeye binafsi au kuiuza CHADEMA kwa CCM, ndivyo vitu vilivyomjengea kuaminika sana ndani ya chama, kiasi cha viongozi wenzake, na wanachama walio wengi kumtaka aendelee kukiongoza chama. Kuwa kiongozi ndani ya CHADEMA ni kujifanya sadaka, kuyakubali mateso ya kila aina, kitu ambacho siyo wengi wanaomudu.
Mheshimiwa Halima Mdee ndiye mbadala wa Mbowe na ndiye anayekwenda kushika Uwenyekiti, ili kukata kiu ya wanachama wa CHADEMA ambao wanamhitaji sasa kuliko wakati mwingine wowote ule.
 
Kwani akina Mdee si walitokana na uchaguzi ambao ninyi mlisema ni uchafuzi na kwamba hamuutambui?Sasa mlipokea na kuvuta Billion 2.7 za nini wakati mlikataa kuutambua? Au uchaguzi unakuwa huru tu pale Mbowe akiingia Bungeni?

Wewe ni mwendawazimu.

Kwa sababu huna akili ya kuelewa, kuanzia leo kariri: 'wabunge wa viti maalum hawasababishi kupatikana ruzuku yoyote, bali wao wabunge wa kuteuliwa, na ruzuku, hutegemea kura alizopata mgombea wa kiti cha Urais na wabunge wa majimboni'
 
Wewe ni punguani bingwa.

Tangu lini wabunge wa viti maalum husababisha kupatikana kwa ruzuku. Kama hulijui hata hili, jipige kifuani mara tatu, ukitamka kuwa, "mimi punguani mnafiki nisiyejua kitu" × 3.
Hujaelewa hoja yangu na badala yake umekurupuka kama kawaida yako kukurupuka. Hoja ni kuwa akina Mdee ni zao la uchaguzi wa 2020 ambao ninyi mliukataa na kusema hamuutambui. Lakini kwa janja janja zenu mkavuta Billion 2.7 kimya kimya na kuanza kuzitafuna bila kunawa hata mikono mpaka pale Mheshimiwa Kijana alipokuja kuweka wazi suala hilo sio mkaanza kuweweseka
 
Wewe ni mwendawazimu.

Kwa sababu huna akili ya kuelewa, kuanzia leo kariri: 'wabunge wa viti maalum hawasababishi kupatikana ruzuku yoyote, bali wao wabunge wa kuteuliwa, na ruzuku, hutegemea kura alizopata mgombea wa kiti cha Urais na wabunge wa majimboni'
Kwani Mdee hakuwa mgombea ubunge jimboni kwake kawe? Acha uhayawani wako
 
Ni kwa sababu ananunulika na CCM mnahitaji watu kama hao. Halima hana tofauti na Zitto na wengine wanasiasa malaya malaya.
Heche kwangu mimi ndie chaguo sahihi baada ya Lissu.
Hakuna anayeweza mpatiya uwenyekiti mropokaji kama Heche. Huoni hata uwenyekiti tu wa kanda alidondokea pua?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo nataka niwapeni uchambuzi wangu na Elimu kidogo juu ya nani angefaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA baada ya Mbowe kung'atuka uongozini na kuruhusu mawazo mapya na fikra mpya na mikakati mipya ndani ya chama kuchukua nafasi yake. Kwanza ni lazima tukubaliane kwa pamoja kuwa ni ngumu sana kuirejesha CHADEMA ile ya Dkt Slaa ya 2010-2015.pili ni ngumu kwa CHADEMA kuitikisa nchi tena na kuliteka kundi la vijana kama ilivyokuwa miaka hiyo.tatu ni ngumu sana CHADEMA kupata imani kubwa na kuwa na ushawishi mkubwa kama iliyopata kuwa nao kwa watanzania miaka hiyohiyo ya Dkt Slaa.

Miaka ambayo kuvaa tisheti na sare za CCM na ukakatisha nazo mjini kama pale Mbeya mjini au Tunduma ilikuwa ni ngumu sana, miaka ambayo katika uchaguzi wa serikali za wanafunzi vyuo vikuu vilitekwa na vijana wa CHASO, miaka ambayo CCM ilionekana ni chama cha wazee na cha watu wasio na Elimu, miaka ambayo msomi kuwa mwana CCM ilionekana kama wewe ni fisadi, miaka ambayo magwanda na kombati za CHADEMA zilitamba sana mijini,miaka ambayo CHADEMA mikutano yao ilikuwa inafurika watu pale Luandanzovwe pale Mbeya mpaka unahisi watu wameisha majumbani mwao.

Miaka ambayo CHADEMA iliteka na kuwa na ushawishi katika miji na majiji yote makubwa hapa Nchini,miaka ambayo CCM ilipata wakati mgumu sana kufanya mikutano yake mijini na kupata wahudhuriaji kama wale waliohudhuria kwenye mikutano ya CHADEMA. kwa hakika miaka hiyo haitakaa irejee tena kwa kuwa wananchi wameshatambua kuwa CHADEMA ni wababaishaji na wasakatonge tu na ndio maana wamekuwa vigeugeu na wasio na misimamo kwa mambo wanayoyasimamia ,na hapa unaweza rejea kilichotokea 2015.

Sasa turudi kwenye mada.napenda kuwaambia ya kuwa Mheshimiwa Halima James Mdee ndiye mtu pekee ambaye alikuwa anastahili na kuweza kuiongoza CHADEMA baada Ya Mheshimiwa Mbowe. sababu ni kuwa Mdee ni mtu aliyekulia ndani ya CHADEMA,ni mtu ambaye tangia ubinti wake amekuwa CHADEMA,hajawahi kuwa chama chochote nje ya CHADEMA,ni mtu ambaye anaweza endana na vijana ndani ya CHADEMA,ni mtu ambaye anakubalika na vijana wengi.Ni mtulivu na asiye na Papara.ni msiri na msatahimilivu sana.hapa unaweza kurejea namna alivyokuwa mtulivu katika kujibu majibu pale anaposhambuliwa na baadhi ya vijana kuhusiana na uwepo wake Bungeni kwa sasa.

Hana hasira wala jazba ndio maana majibu yake yamekuwa ya staha sana hata ukimfuatilia mitandaoni.ni mtu ambaye anakubalika hata nje ya chama chake,ni mtu ambaye anaweza watuliza na kuonyesha njia anaowaongoza bila kuacha mpasuko ndani ya chama.ni mtu mwenye staha,adabu,hekima, busara na muungwana sana.ndio maana huwezi kukuta akitoa lugha za matusi au kumsikia akiwatukana viongozi wa serikali au CCM Kama wanavyofanya waropokaji na wenye mihemuko kama Lissu au Lema au Heche .Mdee hana mihemuko wala kukurupuka wala kuropoka ropoka hovyoo, ni mtu mwenye nidhamu ya kinywa ,ulimi na mdomo wake.ni mtu mwenye muunganiko mzuri kati ya akili yake na mdomo wake na anajuwa wakati gani aongee na wakati gani akae kimya na wakati gani apuuze tu jambo na maneno yaliyoelekezwa kwake kama mshale..

Ni mtulivu sana tena sana.amejaa hekima,mcheshi, mkarimu wa maneno na mwenye kujuwa hasa namna ya kujenga hoja.ni mtu anayeweza kiungaisha chama vizuri sana kwa sababu anakifahamu vizuri sana na anafahamu wapi kimetoka na njia kilizopita.

Ikumbukwe ya kuwa CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani hapa nchini lazima kipate mtu aina ya Halima Mdee, ambaye anaweza kukaa hata na mtawala mezani kuzungumza kwa maslahi mapana ya pande zote mbili.unajuwa siasa za mabavu, kutunishiana misuli na kukimbizana na mabomu mtaani na hata kupelekea majeraha,vilema na hata vifo havina sababu na wala siyo siasa zinazohitajika kwa wakati huu. Kwa sababu zinajenga chuki, uhasama, uadui, visasi na kutokuaminiana na hatimaye kuligawa Taifa letu. Hivyo anahitajika kiongozi aina ya Mdee ambaye anaweza kuwa na kifua cha kuhakikisha kuwa siasa anazoziongoza ni siasa za maridhiano ,kukubaliana kutokukubaliana na kufikia muafaka katika meza ya mazungumzo.

Watu kama akina Lissu au Lema waropokaji,ikiwa CHADEMA ikarogwa ikawapa uwenyekiti ndio utakuwa mwisho wake kwa sababu watakisambaratisha na kukivuruga sana CHADEMA na kukiacha kikiwa hoi bin taabani juu ya mawe.

Nampenda sana Mheshimiwa Halima Mdee namna anavyofanya siasa zake,anavyojenga hoja kwa utulivu na ninatamani sana angekuwa mwana CCM na kuwa ndani ya CCM.

Lakini mwisho naomba kumkaribisha sana tena sana ndani ya CCM ,Chama ambacho ni mtetezi wa watanzania na kilicho dhamiria kuwainua Watanzania kiuchumi na kubeba matumaini yao. Naomba kama itampendeza ajiunge CCM ili aje aungane na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan katika kuwapigania watanzania. CCM ni mahali ambapo anaweza kutimiza ndoto zake za kuwasemea wananchi tofauti na huko kwa pinga pinga.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2946254
KAMKABIDHISHE BASI
KUNA MTU ALIWAHI KUNIAMBIA UMEWAHI KUTIBIWA UGONJWA WA AKILI
 
Chama apewe John Heche kama Mbowe anaachia. Heche hatetereki hana bei.
 
Hata suala la uwanachama wao lilishamalizika na wanatambuliwa kiwa bado ni wanachama halali wa CHADEMA, wenye haki zote ikiwepo hii ya kugombea uwenyekiti wa chama Taifa

.
 

Attachments

  • JamiiForums1381953234.jpeg
    JamiiForums1381953234.jpeg
    49.5 KB · Views: 1
Yani tuchukue Demu tumpe chama, mumnunue atengeneze machawa kama wafanyavyo Samia na Tulia?

Sisi sio wajinga kiwango cha CCM.

Hatuhitaji ushauri.
 
Naunga hoja ya mleta mada. Halima Mdee anafaa kuwa kiongozi wa juu nchini. Kuwa rais wa nch kwa kweli sina uhakika kamili lakini nadhani ana uwezo wa kufika akipata washauri wazuri. Kwa kuchukua nafasi ya Mbowe anafaa kabisa.
Ataiuza nchi hafai
 
Mbowe ni lazima akubali tu kumuachia chama Mheshimiwa Mdee ,maana muda wake umekwisha. 2015 aliahidi kuachia uwenyekiti lakini tunashangaa mpaka leo ameng'ang'ania tu kwenye uwenyekiti utafikiri sumaku.
Ni lini UWT mmefanya uchaguzi wa Mwenyekiti wenu?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo nataka niwapeni uchambuzi wangu na Elimu kidogo juu ya nani angefaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA baada ya Mbowe kung'atuka uongozini na kuruhusu mawazo mapya na fikra mpya na mikakati mipya ndani ya chama kuchukua nafasi yake. Kwanza ni lazima tukubaliane kwa pamoja kuwa ni ngumu sana kuirejesha CHADEMA ile ya Dkt Slaa ya 2010-2015.pili ni ngumu kwa CHADEMA kuitikisa nchi tena na kuliteka kundi la vijana kama ilivyokuwa miaka hiyo.tatu ni ngumu sana CHADEMA kupata imani kubwa na kuwa na ushawishi mkubwa kama iliyopata kuwa nao kwa watanzania miaka hiyohiyo ya Dkt Slaa.

Miaka ambayo kuvaa tisheti na sare za CCM na ukakatisha nazo mjini kama pale Mbeya mjini au Tunduma ilikuwa ni ngumu sana, miaka ambayo katika uchaguzi wa serikali za wanafunzi vyuo vikuu vilitekwa na vijana wa CHASO, miaka ambayo CCM ilionekana ni chama cha wazee na cha watu wasio na Elimu, miaka ambayo msomi kuwa mwana CCM ilionekana kama wewe ni fisadi, miaka ambayo magwanda na kombati za CHADEMA zilitamba sana mijini,miaka ambayo CHADEMA mikutano yao ilikuwa inafurika watu pale Luandanzovwe pale Mbeya mpaka unahisi watu wameisha majumbani mwao.

Miaka ambayo CHADEMA iliteka na kuwa na ushawishi katika miji na majiji yote makubwa hapa Nchini,miaka ambayo CCM ilipata wakati mgumu sana kufanya mikutano yake mijini na kupata wahudhuriaji kama wale waliohudhuria kwenye mikutano ya CHADEMA. kwa hakika miaka hiyo haitakaa irejee tena kwa kuwa wananchi wameshatambua kuwa CHADEMA ni wababaishaji na wasakatonge tu na ndio maana wamekuwa vigeugeu na wasio na misimamo kwa mambo wanayoyasimamia ,na hapa unaweza rejea kilichotokea 2015.

Sasa turudi kwenye mada.napenda kuwaambia ya kuwa Mheshimiwa Halima James Mdee ndiye mtu pekee ambaye alikuwa anastahili na kuweza kuiongoza CHADEMA baada Ya Mheshimiwa Mbowe. sababu ni kuwa Mdee ni mtu aliyekulia ndani ya CHADEMA,ni mtu ambaye tangia ubinti wake amekuwa CHADEMA,hajawahi kuwa chama chochote nje ya CHADEMA,ni mtu ambaye anaweza endana na vijana ndani ya CHADEMA,ni mtu ambaye anakubalika na vijana wengi.Ni mtulivu na asiye na Papara.ni msiri na msatahimilivu sana.hapa unaweza kurejea namna alivyokuwa mtulivu katika kujibu majibu pale anaposhambuliwa na baadhi ya vijana kuhusiana na uwepo wake Bungeni kwa sasa.

Hana hasira wala jazba ndio maana majibu yake yamekuwa ya staha sana hata ukimfuatilia mitandaoni.ni mtu ambaye anakubalika hata nje ya chama chake,ni mtu ambaye anaweza watuliza na kuonyesha njia anaowaongoza bila kuacha mpasuko ndani ya chama.ni mtu mwenye staha,adabu,hekima, busara na muungwana sana.ndio maana huwezi kukuta akitoa lugha za matusi au kumsikia akiwatukana viongozi wa serikali au CCM Kama wanavyofanya waropokaji na wenye mihemuko kama Lissu au Lema au Heche .Mdee hana mihemuko wala kukurupuka wala kuropoka ropoka hovyoo, ni mtu mwenye nidhamu ya kinywa ,ulimi na mdomo wake.ni mtu mwenye muunganiko mzuri kati ya akili yake na mdomo wake na anajuwa wakati gani aongee na wakati gani akae kimya na wakati gani apuuze tu jambo na maneno yaliyoelekezwa kwake kama mshale..

Ni mtulivu sana tena sana.amejaa hekima,mcheshi, mkarimu wa maneno na mwenye kujuwa hasa namna ya kujenga hoja.ni mtu anayeweza kiungaisha chama vizuri sana kwa sababu anakifahamu vizuri sana na anafahamu wapi kimetoka na njia kilizopita.

Ikumbukwe ya kuwa CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani hapa nchini lazima kipate mtu aina ya Halima Mdee, ambaye anaweza kukaa hata na mtawala mezani kuzungumza kwa maslahi mapana ya pande zote mbili.unajuwa siasa za mabavu, kutunishiana misuli na kukimbizana na mabomu mtaani na hata kupelekea majeraha,vilema na hata vifo havina sababu na wala siyo siasa zinazohitajika kwa wakati huu. Kwa sababu zinajenga chuki, uhasama, uadui, visasi na kutokuaminiana na hatimaye kuligawa Taifa letu. Hivyo anahitajika kiongozi aina ya Mdee ambaye anaweza kuwa na kifua cha kuhakikisha kuwa siasa anazoziongoza ni siasa za maridhiano ,kukubaliana kutokukubaliana na kufikia muafaka katika meza ya mazungumzo.

Watu kama akina Lissu au Lema waropokaji,ikiwa CHADEMA ikarogwa ikawapa uwenyekiti ndio utakuwa mwisho wake kwa sababu watakisambaratisha na kukivuruga sana CHADEMA na kukiacha kikiwa hoi bin taabani juu ya mawe.

Nampenda sana Mheshimiwa Halima Mdee namna anavyofanya siasa zake,anavyojenga hoja kwa utulivu na ninatamani sana angekuwa mwana CCM na kuwa ndani ya CCM.

Lakini mwisho naomba kumkaribisha sana tena sana ndani ya CCM ,Chama ambacho ni mtetezi wa watanzania na kilicho dhamiria kuwainua Watanzania kiuchumi na kubeba matumaini yao. Naomba kama itampendeza ajiunge CCM ili aje aungane na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan katika kuwapigania watanzania. CCM ni mahali ambapo anaweza kutimiza ndoto zake za kuwasemea wananchi tofauti na huko kwa pinga pinga.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2946254
Mwanaume unaandika paragrafu zote hizi kisa kusema Halima amrithi Mbowe kweli bando limepata mtu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo nataka niwapeni uchambuzi wangu na Elimu kidogo juu ya nani angefaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA baada ya Mbowe kung'atuka uongozini na kuruhusu mawazo mapya na fikra mpya na mikakati mipya ndani ya chama kuchukua nafasi yake. Kwanza ni lazima tukubaliane kwa pamoja kuwa ni ngumu sana kuirejesha CHADEMA ile ya Dkt Slaa ya 2010-2015.pili ni ngumu kwa CHADEMA kuitikisa nchi tena na kuliteka kundi la vijana kama ilivyokuwa miaka hiyo.tatu ni ngumu sana CHADEMA kupata imani kubwa na kuwa na ushawishi mkubwa kama iliyopata kuwa nao kwa watanzania miaka hiyohiyo ya Dkt Slaa.

Miaka ambayo kuvaa tisheti na sare za CCM na ukakatisha nazo mjini kama pale Mbeya mjini au Tunduma ilikuwa ni ngumu sana, miaka ambayo katika uchaguzi wa serikali za wanafunzi vyuo vikuu vilitekwa na vijana wa CHASO, miaka ambayo CCM ilionekana ni chama cha wazee na cha watu wasio na Elimu, miaka ambayo msomi kuwa mwana CCM ilionekana kama wewe ni fisadi, miaka ambayo magwanda na kombati za CHADEMA zilitamba sana mijini,miaka ambayo CHADEMA mikutano yao ilikuwa inafurika watu pale Luandanzovwe pale Mbeya mpaka unahisi watu wameisha majumbani mwao.

Miaka ambayo CHADEMA iliteka na kuwa na ushawishi katika miji na majiji yote makubwa hapa Nchini,miaka ambayo CCM ilipata wakati mgumu sana kufanya mikutano yake mijini na kupata wahudhuriaji kama wale waliohudhuria kwenye mikutano ya CHADEMA. kwa hakika miaka hiyo haitakaa irejee tena kwa kuwa wananchi wameshatambua kuwa CHADEMA ni wababaishaji na wasakatonge tu na ndio maana wamekuwa vigeugeu na wasio na misimamo kwa mambo wanayoyasimamia ,na hapa unaweza rejea kilichotokea 2015.

Sasa turudi kwenye mada.napenda kuwaambia ya kuwa Mheshimiwa Halima James Mdee ndiye mtu pekee ambaye alikuwa anastahili na kuweza kuiongoza CHADEMA baada Ya Mheshimiwa Mbowe. sababu ni kuwa Mdee ni mtu aliyekulia ndani ya CHADEMA,ni mtu ambaye tangia ubinti wake amekuwa CHADEMA,hajawahi kuwa chama chochote nje ya CHADEMA,ni mtu ambaye anaweza endana na vijana ndani ya CHADEMA,ni mtu ambaye anakubalika na vijana wengi.Ni mtulivu na asiye na Papara.ni msiri na msatahimilivu sana.hapa unaweza kurejea namna alivyokuwa mtulivu katika kujibu majibu pale anaposhambuliwa na baadhi ya vijana kuhusiana na uwepo wake Bungeni kwa sasa.

Hana hasira wala jazba ndio maana majibu yake yamekuwa ya staha sana hata ukimfuatilia mitandaoni.ni mtu ambaye anakubalika hata nje ya chama chake,ni mtu ambaye anaweza watuliza na kuonyesha njia anaowaongoza bila kuacha mpasuko ndani ya chama.ni mtu mwenye staha,adabu,hekima, busara na muungwana sana.ndio maana huwezi kukuta akitoa lugha za matusi au kumsikia akiwatukana viongozi wa serikali au CCM Kama wanavyofanya waropokaji na wenye mihemuko kama Lissu au Lema au Heche .Mdee hana mihemuko wala kukurupuka wala kuropoka ropoka hovyoo, ni mtu mwenye nidhamu ya kinywa ,ulimi na mdomo wake.ni mtu mwenye muunganiko mzuri kati ya akili yake na mdomo wake na anajuwa wakati gani aongee na wakati gani akae kimya na wakati gani apuuze tu jambo na maneno yaliyoelekezwa kwake kama mshale..

Ni mtulivu sana tena sana.amejaa hekima,mcheshi, mkarimu wa maneno na mwenye kujuwa hasa namna ya kujenga hoja.ni mtu anayeweza kiungaisha chama vizuri sana kwa sababu anakifahamu vizuri sana na anafahamu wapi kimetoka na njia kilizopita.

Ikumbukwe ya kuwa CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani hapa nchini lazima kipate mtu aina ya Halima Mdee, ambaye anaweza kukaa hata na mtawala mezani kuzungumza kwa maslahi mapana ya pande zote mbili.unajuwa siasa za mabavu, kutunishiana misuli na kukimbizana na mabomu mtaani na hata kupelekea majeraha,vilema na hata vifo havina sababu na wala siyo siasa zinazohitajika kwa wakati huu. Kwa sababu zinajenga chuki, uhasama, uadui, visasi na kutokuaminiana na hatimaye kuligawa Taifa letu. Hivyo anahitajika kiongozi aina ya Mdee ambaye anaweza kuwa na kifua cha kuhakikisha kuwa siasa anazoziongoza ni siasa za maridhiano ,kukubaliana kutokukubaliana na kufikia muafaka katika meza ya mazungumzo.

Watu kama akina Lissu au Lema waropokaji,ikiwa CHADEMA ikarogwa ikawapa uwenyekiti ndio utakuwa mwisho wake kwa sababu watakisambaratisha na kukivuruga sana CHADEMA na kukiacha kikiwa hoi bin taabani juu ya mawe.

Nampenda sana Mheshimiwa Halima Mdee namna anavyofanya siasa zake,anavyojenga hoja kwa utulivu na ninatamani sana angekuwa mwana CCM na kuwa ndani ya CCM.

Lakini mwisho naomba kumkaribisha sana tena sana ndani ya CCM ,Chama ambacho ni mtetezi wa watanzania na kilicho dhamiria kuwainua Watanzania kiuchumi na kubeba matumaini yao. Naomba kama itampendeza ajiunge CCM ili aje aungane na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan katika kuwapigania watanzania. CCM ni mahali ambapo anaweza kutimiza ndoto zake za kuwasemea wananchi tofauti na huko kwa pinga pinga.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2946254


Wewe jamii ya Mboga Mboga Mboga, mambo ya watu yanakuhusu nini? Useless pc of sht
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo nataka niwapeni uchambuzi wangu na Elimu kidogo juu ya nani angefaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA baada ya Mbowe kung'atuka uongozini na kuruhusu mawazo mapya na fikra mpya na mikakati mipya ndani ya chama kuchukua nafasi yake. Kwanza ni lazima tukubaliane kwa pamoja kuwa ni ngumu sana kuirejesha CHADEMA ile ya Dkt Slaa ya 2010-2015.pili ni ngumu kwa CHADEMA kuitikisa nchi tena na kuliteka kundi la vijana kama ilivyokuwa miaka hiyo.tatu ni ngumu sana CHADEMA kupata imani kubwa na kuwa na ushawishi mkubwa kama iliyopata kuwa nao kwa watanzania miaka hiyohiyo ya Dkt Slaa.

Miaka ambayo kuvaa tisheti na sare za CCM na ukakatisha nazo mjini kama pale Mbeya mjini au Tunduma ilikuwa ni ngumu sana, miaka ambayo katika uchaguzi wa serikali za wanafunzi vyuo vikuu vilitekwa na vijana wa CHASO, miaka ambayo CCM ilionekana ni chama cha wazee na cha watu wasio na Elimu, miaka ambayo msomi kuwa mwana CCM ilionekana kama wewe ni fisadi, miaka ambayo magwanda na kombati za CHADEMA zilitamba sana mijini,miaka ambayo CHADEMA mikutano yao ilikuwa inafurika watu pale Luandanzovwe pale Mbeya mpaka unahisi watu wameisha majumbani mwao.

Miaka ambayo CHADEMA iliteka na kuwa na ushawishi katika miji na majiji yote makubwa hapa Nchini,miaka ambayo CCM ilipata wakati mgumu sana kufanya mikutano yake mijini na kupata wahudhuriaji kama wale waliohudhuria kwenye mikutano ya CHADEMA. kwa hakika miaka hiyo haitakaa irejee tena kwa kuwa wananchi wameshatambua kuwa CHADEMA ni wababaishaji na wasakatonge tu na ndio maana wamekuwa vigeugeu na wasio na misimamo kwa mambo wanayoyasimamia ,na hapa unaweza rejea kilichotokea 2015.

Sasa turudi kwenye mada.napenda kuwaambia ya kuwa Mheshimiwa Halima James Mdee ndiye mtu pekee ambaye alikuwa anastahili na kuweza kuiongoza CHADEMA baada Ya Mheshimiwa Mbowe. sababu ni kuwa Mdee ni mtu aliyekulia ndani ya CHADEMA,ni mtu ambaye tangia ubinti wake amekuwa CHADEMA,hajawahi kuwa chama chochote nje ya CHADEMA,ni mtu ambaye anaweza endana na vijana ndani ya CHADEMA,ni mtu ambaye anakubalika na vijana wengi.Ni mtulivu na asiye na Papara.ni msiri na msatahimilivu sana.hapa unaweza kurejea namna alivyokuwa mtulivu katika kujibu majibu pale anaposhambuliwa na baadhi ya vijana kuhusiana na uwepo wake Bungeni kwa sasa.

Hana hasira wala jazba ndio maana majibu yake yamekuwa ya staha sana hata ukimfuatilia mitandaoni.ni mtu ambaye anakubalika hata nje ya chama chake,ni mtu ambaye anaweza watuliza na kuonyesha njia anaowaongoza bila kuacha mpasuko ndani ya chama.ni mtu mwenye staha,adabu,hekima, busara na muungwana sana.ndio maana huwezi kukuta akitoa lugha za matusi au kumsikia akiwatukana viongozi wa serikali au CCM Kama wanavyofanya waropokaji na wenye mihemuko kama Lissu au Lema au Heche .Mdee hana mihemuko wala kukurupuka wala kuropoka ropoka hovyoo, ni mtu mwenye nidhamu ya kinywa ,ulimi na mdomo wake.ni mtu mwenye muunganiko mzuri kati ya akili yake na mdomo wake na anajuwa wakati gani aongee na wakati gani akae kimya na wakati gani apuuze tu jambo na maneno yaliyoelekezwa kwake kama mshale..

Ni mtulivu sana tena sana.amejaa hekima,mcheshi, mkarimu wa maneno na mwenye kujuwa hasa namna ya kujenga hoja.ni mtu anayeweza kiungaisha chama vizuri sana kwa sababu anakifahamu vizuri sana na anafahamu wapi kimetoka na njia kilizopita.

Ikumbukwe ya kuwa CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani hapa nchini lazima kipate mtu aina ya Halima Mdee, ambaye anaweza kukaa hata na mtawala mezani kuzungumza kwa maslahi mapana ya pande zote mbili.unajuwa siasa za mabavu, kutunishiana misuli na kukimbizana na mabomu mtaani na hata kupelekea majeraha,vilema na hata vifo havina sababu na wala siyo siasa zinazohitajika kwa wakati huu. Kwa sababu zinajenga chuki, uhasama, uadui, visasi na kutokuaminiana na hatimaye kuligawa Taifa letu. Hivyo anahitajika kiongozi aina ya Mdee ambaye anaweza kuwa na kifua cha kuhakikisha kuwa siasa anazoziongoza ni siasa za maridhiano ,kukubaliana kutokukubaliana na kufikia muafaka katika meza ya mazungumzo.

Watu kama akina Lissu au Lema waropokaji,ikiwa CHADEMA ikarogwa ikawapa uwenyekiti ndio utakuwa mwisho wake kwa sababu watakisambaratisha na kukivuruga sana CHADEMA na kukiacha kikiwa hoi bin taabani juu ya mawe.

Nampenda sana Mheshimiwa Halima Mdee namna anavyofanya siasa zake,anavyojenga hoja kwa utulivu na ninatamani sana angekuwa mwana CCM na kuwa ndani ya CCM.

Lakini mwisho naomba kumkaribisha sana tena sana ndani ya CCM ,Chama ambacho ni mtetezi wa watanzania na kilicho dhamiria kuwainua Watanzania kiuchumi na kubeba matumaini yao. Naomba kama itampendeza ajiunge CCM ili aje aungane na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan katika kuwapigania watanzania. CCM ni mahali ambapo anaweza kutimiza ndoto zake za kuwasemea wananchi tofauti na huko kwa pinga pinga.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2946254
Magazeti
 
Back
Top Bottom