Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kwani dj siku hizi anakaa juuUjasiri walionao viongozi wa CHADEMA ni kwasababu wanafanya kazi ya alie juu ili kuwakomboa watanzania.
Kupitia CHADEMA,Watanzania mtakombolewa kutoka tawala za CCM.
Ni swala la muda tu.
salimie sana hiyo mama mwambie sisi jimboni tunasema bye bye kwa yeye penda kesi ya jinai, oktoba tunachagua bunge nyingine .Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:
Niko HEWANI tena.... nimepata SIMU zangu USIKU HUU ...... hakuna NENO la Shukran ninaloweza kulisema....zaidi ya ASANTE!!!!!! kwa wema,ukarimu na upendo wenu!!! Sina cha kuwalipa. Niwahakikishie.....niko IMARA KULIKO JANA.
Anamaanisha anapendwa na watu wenye akili.Eti hana cha kutulipa kwa upendo wetu kwako ...! NANI KAMWAMBIA TUNAMPENDA! Hakuna anayekupenda! Badala ya kutumikia wananchi unaenda kufanyavurugu magerezani? Shwain type mfyuuuuuu!
Dah...sauti ya zege...dah [emoji2960]Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:
Niko HEWANI tena.... nimepata SIMU zangu USIKU HUU ...... hakuna NENO la Shukran ninaloweza kulisema....zaidi ya ASANTE!!!!!! kwa wema,ukarimu na upendo wenu!!! Sina cha kuwalipa. Niwahakikishie.....niko IMARA KULIKO JANA.
Maneno ya kishujaa kabisa. May God Bless You Halima.Mdee.Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:
Niko HEWANI tena.... nimepata SIMU zangu USIKU HUU ...... hakuna NENO la Shukran ninaloweza kulisema....zaidi ya ASANTE!!!!!! kwa wema,ukarimu na upendo wenu!!! Sina cha kuwalipa. Niwahakikishie.....niko IMARA KULIKO JANA.
Jibu unalo acha kutusimbua.Hivi kati ya CCM na CHADEMA, mungu anasikiliza dua za nani? Nauliza hivyo maana CHADEMA kutwa kucha wanajilinganisha na Yesu, mara Musa, mara wana waIsrail. Mara mungu hashindwi kitu! Lakini pia kutwa kucha madhila yanawapata CHADEMA!
Ukiwa mchawi harafu unasikia uliyemloga anatamba mitaani eti "Niko imara kuliko jana" utatamani dunia ipasuke uzame.Mdee alitakiwa kuwa mkurya sio kwa ujasiri huo duh!
Hapana.Pamoja / ccm ni chama cha watu wavijijin wasio na umeme wala maji.
Una ujinga mkubwa sana.Usipotii sheria bila shuruti, utashurutishwa kuitii sheria. Na wenye taaluma hiyo wapo na wamefundishwa na pia wameongezewa vitendea kazi vinavyonunuliwa kwa kodi ya Wananchi.
Amelia kama Bia/Soda kwenye CHUMA isipo kizibo.Ukizitikisa tu vimiminika vitafoka na kumwagika.Si mmeejaribu na mmeona.
"Kina cha maji ziwani hakipimwi kwa unyayo"
Sent using Jamii Forums mobile app