Wenye akili wanajua Halima Mdee ni imara kwa kitu gani. Sidhani kama Halima Mdee anazitafuta kura za wenye uwendawazimu. Wenye akili watamchagua kama walivyomchagua.Yuko imara kwa kitu gani huyu mdada? Hakuna cha maana anachopigania ila kuonyesha ukakamavu kuwazuga wale manyumbu wanaomfuata kama mbwa mbele ya chatu. Halima anacreate vagi mfululizo akitegemea kupata huruma na umashuhuri achaguluwe tena ubunge. Nachokiona ubunge hata akupigwa na magereza mara ngapi hapati watu wa kawe wamechoka na matukio na usanii..hakuna anachofanya na chadema yake imechokwa.
INTERAHAMWE hawajui habari za upendo wa ndugu, kwa sababu mioyo yao imejaa utekaji na uuajiEti hana cha kutulipa kwa upendo wetu kwako ...! NANI KAMWAMBIA TUNAMPENDA! Hakuna anayekupenda! Badala ya kutumikia wananchi unaenda kufanyavurugu magerezani?
Halafu hawasikii hawaoni juu ya ccMPamoja / ccm ni chama cha watu wavijijin wasio na umeme wala maji.
Wanasingizia toyota corona imepata panchaHuyu na wenzie si tuliambiwa wanafanyiwa mpango wapelekwe nje kwa matibabu baada ya hali zao kuendelea kuzorota? Hivi chadema kuna mkweli hata mmoja amebaki?