Halima Mdee punguza ulaghai, unadanganyaje umma kuwa akaunti za benki za wabunge waliofungwa zilikuwa na kiwango chini ya Tsh. Milioni 1?

Mtoa mada kaa na umaskini wako na acha wenye pesa watoe michango.
Ni kheri kuwa maskini wa kipato kuliko kuwa maskini wa akili kama za mtoa mada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye account anatuambia balance yake sisi hatumuamini. huu ni ukichaa ambao upo hadi kweenye familia zetu
unapowaambia hauna hela wanakuona muongo
 
Kwani wewe ulilazimishwa kutoka familia ya kimaskini au wewe kutokuwa na ukwasi?
Kama huna pesa na wewe sema uchangiwe ili umiliki ukwasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani wananchi wamechanga tu kuonyesha mapenzi waliyonayo kwa viongozi na wanapinga uoenezi na ukandamizaji unaofanyika na mfumo sisiemu na si kwa sababu viongozi hao hawana uwezo wa kulipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujalazimishwa kuwa na kipato duni na usiseme watu wenye kipato duni jiseme wewe ndio mwenye kipato duni ndio maana una roho mbaya pesa tumechanga sisi kuwashwa unawashwa wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii n

Hii nayo imewauma hadi mnaanza propaganda ya kuwachonganisha Chadema na wachangiaji wao?

Aki ya nani mtakufa na pressure kwa kushindana na mkono wa Mungu. Tafuteni mlipoangukia mrekebishe. Dunia iko kinyume chenu.
 
Kweli kabisa Chadema wasaka noti tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uchungu na pesa ya wanyonge tungeoyesha kwa EPA, Kagoda, Escrow, na nyingine Kama hizo, tungeungana.
Kwa namna hiyo hiyo, unapokuwa na haraka ya kutaka watu waheshimu utawala wa sheria lakini hujawahi kuhoji kwa nini kuna wanufaika wa hayo na mengine hawajawahi kukanyaga mahakama, unapotezea watu muda kwa kuleta upuuzi kwenye mambo ya msingi.
 
Nguvu ya umma. Bado ni unyonyaji huo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
We utakuwa mchawi. Roho imekuuma sana sisi kuwachangia kina Mbowe na chadema.
 
Aliye sema hivyo ni nani?
Hawa jamaa walifanya maandamano haramu ambayo yalisabisha polisi kutumia risasi za moto na matokeo yake risasi ikamuua mwanafunzi aliyekuwa kwenye dalala. Post yako ilikuwa "Wakifanya mnawakamata wakiacha mnawasema,.......
 
Fact
 
Mimi nikajua umekuja kuthibitisha kwamba acc zao zimejaa mahela mengi? Mbona umeongea kwa hisia tu? Una umri gani? Umeanza kujitegemea kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…