Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
kuna mahali niliona kuwa ana katabia kabaya,
atakuwa ameshanogea hawezi kuolewa tena
Unapumulia mashine?Mmmmmmmmhhhh!
Afu mkome kumfuatafuata mbunge wangu.
Unapumulia mashine?
Unapumulia mashine?
Halima Mdee terms marriage vows a political ploy...........
hii ni mbaya sana kwa Halima Mdee.................kumbe akiwa jukwaani huropoka tu na wala hajali kuwa anapotosha wapigakura ili mradi apate mkate wake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kuanzia sasa mimi kumwamini itakuwa ni vigumu kwa sababu sijui lipi lina ukweli na lipi anajiongelea tu ili mradi aambulie mkate wake...........lol.
kuna mahali niliona kuwa ana katabia kabaya,
atakuwa ameshanogea hawezi kuolewa tena
Sijawahi kuona ukichangia mada yeyote ya maana humu jamvini zaidi ya kujishughurisha na umbea tu!.....hii sijui ni dalili gani kwa mtoto wa kiume!!!