Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Halima Mdee terms marriage vows a political ploy...........
hii ni mbaya sana kwa Halima Mdee.................kumbe akiwa jukwaani huropoka tu na wala hajali kuwa anapotosha wapigakura ili mradi apate mkate wake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kuanzia sasa mimi kumwamini itakuwa ni vigumu kwa sababu sijui lipi lina ukweli na lipi anajiongelea tu ili mradi aambulie mkate wake...........lol.