Hii taarifa ni ya kweli? Walio bainika kuiba Kwa mujibu wa ripoti ya CAG wamechukuliwa hatua Kali sana. Wapo waliohamishwa kutoka wilaya moja kwenda nyingine. Wapo walioshushwa cheo. Wapo waliopelekwa Ukerewe kisiwani uko. Wapo waliopelekwa Ukara. Wapo waliopewa barua za onyo. Naomba...