Halima usishupaze shingo omba radhi urudi kundini, jifunze kwa Sofia Simba na Membe

Halima usishupaze shingo omba radhi urudi kundini, jifunze kwa Sofia Simba na Membe

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Mifano iko mingi, najua Chadema unaipenda na Chadema inakupenda pia tatizo ni wewe kujiona unauwezo kukizidi chama, viongozi wako unawaita wahuni?

Jishushe, bado naiona future yako ndani ya Chadema na si kwingineko. Membe, Lowassa, Kinana, Makamba sr, Nyalandu, Sumaye walijaribu kutofautiana na vyama vyao lkn walipogundua makosa yao waliomba msamaha kwa siri au hadharani na wakasamehewa.

Sikushauri uondoke Chadema wala sikushauri uende mahakamani huko utapoteza muda bure elewa chama ni kikubwa kuliko mwanachama, jifunze pia kwa Shonza yuko wapi walionunuliwa na Polepole wako wapi, Slaa yuko wapi.

Omba radhi na uombe uanachama wako upya najua utarudishiwa.
 
... la muhimu zaidi wabaki kuwa wanachama wa kawaida bila nafasi yoyote ndani ya chama kwa angalau miaka 10. Baada ya hapo wanaweza kufikiriwa wakiomba. Roho ya usaliti ikishamwingia mwanadamu huchukua muda mrefu sana kumtoka; sometimes isitoke kabisa.
 
Mifano iko mingi, najua Chadema unaipenda na Chadema inakupenda pia tatizo ni wewe kujiona unauwezo kuwazidi wenzako. Jishushe, bado naiona future yako ndani ya Chadema na si kwingineko. Membe, Lowassa, Makamba sr, Nyalandu, Sumaye walijaribu kutofautiana na vyama vyao lkn walipogundua makosa yao waliomba msamaha kwa siri au hadharani na wakasamehewa.

Sikushauri uondoke Chadema wala sikushauri uende mahakamani huko utapoteza muda bure elewa chama ni kikubwa kuliko mwanachama, jifunze pia kwa Shonza yuko wapi walionunuliwa na Polepole wako wapi, Slaa yuko wapi.

Omba radhi na uombe uanachama wako upya najua utarudishiwa.
Naunga mkono hoja, ila hili Halima alifanye kama ni kweli ni yeye alifoji barua ya uteuzi, na kuiwasilisha NEC, kujifanya imetoka Chadema, lakini kama aliteuliwa, kosa lake ni lipi?.
P
 
Naunga mkono hoja, ila hili Halima alifanye kama ni kweli ni yeye alifoji barua ya uteuzi, na kuiwasilisha NEC, kujifanya imetoka Chadema, lakini kama aliteuliwa, kosa lake ni lipi?.
P
... inawezekana vipi Chama kimteue halafu chama hicho hicho kilalamikie uteuzi kiliofanya chenyewe? Jamani vitu vingine ni logic ya kawaida tu!
 
Naunga mkono hoja, ila hili Halima alifanye kama ni kweli ni yeye alifoji barua ya uteuzi, na kuiwasilisha NEC, kujifanya imetoka Chadema, lakini kama aliteuliwa, kosa lake ni lipi?.
P
Ndugu yangu Pascal Mayalla, hata kama hakufoji chama ndicho kimeshika mpini, kwani kosa la Ndugai ni lipi kushauri tusikope hovyo, unajua kilichompata.
 
Mifano iko mingi, najua Chadema unaipenda na Chadema inakupenda pia tatizo ni wewe kujiona unauwezo kuwazidi wenzako, viongozi wako unawaita wahuni?

Jishushe, bado naiona future yako ndani ya Chadema na si kwingineko. Membe, Lowassa, Kinana, Makamba sr, Nyalandu, Sumaye walijaribu kutofautiana na vyama vyao lkn walipogundua makosa yao waliomba msamaha kwa siri au hadharani na wakasamehewa.

Sikushauri uondoke Chadema wala sikushauri uende mahakamani huko utapoteza muda bure elewa chama ni kikubwa kuliko mwanachama, jifunze pia kwa Shonza yuko wapi walionunuliwa na Polepole wako wapi, Slaa yuko wapi.

Omba radhi na uombe uanachama wako upya najua utarudishiwa.
Juliana Shonza siyo mbunge wa viti maalum ccm?
 
Naunga mkono hoja, ila hili Halima alifanye kama ni kweli ni yeye alifoji barua ya uteuzi, na kuiwasilisha NEC, kujifanya imetoka Chadema, lakini kama aliteuliwa, kosa lake ni lipi?.
P
Kosa la Halima ni kung'ang'ania uteuzi hata pale alipoambiwa hamna barua ya uteuzi wake kutoka Chadema. Ukimya wa Spika na NEC kwenye hili kunafanya watu wengi tuamini kuwa kuna mchezo ulifanyika na yeye alikuwa complicit. Ni sense of entitlement ndio iliyomfikisha hapa. Halima wa zamani asingekubali kuapishwa gereji. Halima wa zamani angejiuzuru ubunge aliposikia tu kuwa Mnyika amekana kuwa aliandika barua na Spika na NEC wakashindwa kuweka nakala zao hadharani.
Halima alipendwa sana lakini mwishoni inaelekea alichukua upendo ule for granted. Akae kimya, ajitafakari na wakati muafaka ukifika aombe msamaha na atarudi kwenye chama anachokipenda.
Au anaweza kuamua kupambana nacho bila kujali uharibifu atakaokifanyia. Uamuzi ni wake.

Amandla...
 
Akubali tu kuyarudisha maneno yake kinywani na kuyafungia kwa meno na midomo yake.

Mifano iko mingi, najua Chadema unaipenda na Chadema inakupenda pia tatizo ni wewe kujiona unauwezo kuwazidi wenzako, viongozi wako unawaita wahuni?

Jishushe, bado naiona future yako ndani ya Chadema na si kwingineko. Membe, Lowassa, Kinana, Makamba sr, Nyalandu, Sumaye walijaribu kutofautiana na vyama vyao lkn walipogundua makosa yao waliomba msamaha kwa siri au hadharani na wakasamehewa.

Sikushauri uondoke Chadema wala sikushauri uende mahakamani huko utapoteza muda bure elewa chama ni kikubwa kuliko mwanachama, jifunze pia kwa Shonza yuko wapi walionunuliwa na Polepole wako wapi, Slaa yuko wapi.

Omba radhi na uombe uanachama wako upya najua utarudishiwa.
 
Akubali tu kuyarudisha maneno yake kinywani na kuyafungia kwa meno na midomo yake.

Mifano iko mingi, najua Chadema unaipenda na Chadema inakupenda pia tatizo ni wewe kujiona unauwezo kuwazidi wenzako, viongozi wako unawaita wahuni?

Jishushe, bado naiona future yako ndani ya Chadema na si kwingineko. Membe, Lowassa, Kinana, Makamba sr, Nyalandu, Sumaye walijaribu kutofautiana na vyama vyao lkn walipogundua makosa yao waliomba msamaha kwa siri au hadharani na wakasamehewa.

Sikushauri uondoke Chadema wala sikushauri uende mahakamani huko utapoteza muda bure elewa chama ni kikubwa kuliko mwanachama, jifunze pia kwa Shonza yuko wapi walionunuliwa na Polepole wako wapi, Slaa yuko wapi.

Omba radhi na uombe uanachama wako upya najua utarudishiwa.
 
Mifano iko mingi, najua Chadema unaipenda na Chadema inakupenda pia tatizo ni wewe kujiona unauwezo kuwazidi wenzako, viongozi wako unawaita wahuni?

Jishushe, bado naiona future yako ndani ya Chadema na si kwingineko. Membe, Lowassa, Kinana, Makamba sr, Nyalandu, Sumaye walijaribu kutofautiana na vyama vyao lkn walipogundua makosa yao waliomba msamaha kwa siri au hadharani na wakasamehewa.

Sikushauri uondoke Chadema wala sikushauri uende mahakamani huko utapoteza muda bure elewa chama ni kikubwa kuliko mwanachama, jifunze pia kwa Shonza yuko wapi walionunuliwa na Polepole wako wapi, Slaa yuko wapi.

Omba radhi na uombe uanachama wako upya najua utarudishiwa.
Akiwa mpole na Kwa moyo wa dhati kuihitajitena chadema bila kukubali kutumika kulihujumu hata Mimi nitamielewa🤔
 
Kosa la Halima ni kung'ang'ania uteuzi hata pale alipoambiwa hamna barua ya uteuzi wake kutoka Chadema. Ukimya wa Spika na NEC kwenye hili kunafanya watu wengi tuamini kuwa kuna mchezo ulifanyika na yeye alikuwa complicit. Ni sense of entitlement ndio iliyomfikisha hapa. Halima wa zamani asingekubali kuapishwa gereji. Halima wa zamani angejiuzuru ubunge aliposikia tu kuwa Mnyika amekana kuwa aliandika barua na Spika na NEC wakashindwa kuweka nakala zao hadharani.
Halima alipendwa sana lakini mwishoni inaelekea alichukua upendo ule for granted. Akae kimya, ajitafakari na wakati muafaka ukifika aombe msamaha na atarudi kwenye chama anachokipenda.
Au anaweza kuamua kupambana nacho bila kujali uharibifu atakaokifanyia. Uamuzi ni wake.

Amandla...
Well said. Huyu ndiye Fundi Mchundo ninayemfahamu ......!!
 
Back
Top Bottom