Halitete: Ukimya wa wanaJF kutoa Mialiko serious ya Madikodiko ya PASAKA! Nini kimewakuta?

Jamani nilikuwa wapi mm mwaliko umenipita
 
sister pole kwa ban...

swali chokonozi ukishafunguliwa...vipi ulitukana ama Asprin alikuwa anakupokonya simu bahati mbaya matusi yakachoreka? huna kawaida ya kujibizana
Achau funyukuzi wife ameomba ban ili apumzike kidogo
 
hata kunialika udugu wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…