Halmashauri Kuu Taifa ya Chama cha (UPDP) imemvua uenyekiti Fahmi Dovutwa kwa kufanya kosa la kukisemea chama hicho kinyume na Katiba

Wanamuonea bure kumtimua Dovutwa kwa kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa, kwasababu kujitoa huko kwa UPDP ni just saving faces, kuna vyama havina the capacity and resources za kushiriki uchaguzi, viko hoi, dholfu, hoi bin taaban, hivyo kutangaza kujitoa ni nusura yake, chama tangu kuundwa hakijawahi kushinda hata mtaa mmoja, unategemea nini?.

P
 
Hizi akili wangekuwa nazo chadema nchi ingesonga mbele ,wao wamekuwa misukule tu hata mbele hawaoni

Hongereni kwa uamuzi wa busara


State agent
Nimeamini wewe una mahaba ya dhati kabisa na chadema.
Kila post we uko na chadema tu!
 
Mwenyekiti wa People's Democratic Party amepoteza uwenyekiti wake baada ya kusaliti chama na kuwaunga mkono Chadema kujitoa kwenye uchaguzi wa serkali za mitaa kinyume cha sheria.

Fahmi Dovutwa ambaye tayari amepoteza muelekeo wa kisiasa kutokana na kuunga mkono tamko batili la Chadema hajui hatma yake kisiasa.

My take:
Chadema mlimdanganya huyu Mzee sasa mmemuacha peke yake hiyo sio fair. Mpeni hata nafasi awe makamu mwenyekiti wa chadema Taifa la sivyo huyu mzee atachanganyikiwa

Vyama vingine viache kuwasikiliza Chadema vitapotea kama Fahmi alivyopotezwa
 
Kawe Alumni,
Wanachama wake ni wote ni CCM unatarajia nini hapo?
Ungesema 'waajiri wa Dovutwa wamtimua' au 'waliotengeneza Chama na kumpatia Dovutwa wamtimua'
 
Mbowe naye alitakiwa kufukuzwa sema anaongoza malofa yanamrudisha kinyume na katiba ,CCM wakisema jpm aongezewe muda wanachukia


State agent
 
Mbowe naye alitakiwa kufukuzwa sema anaongoza malofa yanamrudisha kinyume na katiba ,CCM wakisema jpm aongezewe muda wanachukia


State agent
Kuna watu wana umri, elimu, vyeo, uzoefu na hela vile vile kuliko wewe. Lugha yako siyo utamaduni wa watanzania wala misingi ya siasa za vyama vingi nchini.

Ukiona huna la kuchangia tuza basi heshima za wenzio mkuu wote ni wa TZ !!!!!!!!!!!!!!!!!!!111
 
Ccm kazini, wanaona Davutwa amekiuka maagano.
 
Pole sana shetani akikupenda ujue hufai kwa Mungu. Amen
Mbowe naye alitakiwa kufukuzwa sema anaongoza malofa yanamrudisha kinyume na katiba ,CCM wakisema jpm aongezewe muda wanachukia


State agent
 
Hizi akili wangekuwa nazo chadema nchi ingesonga mbele ,wao wamekuwa misukule tu hata mbele hawaoni

Hongereni kwa uamuzi wa busara


State agent
Acha ujinga wewe kama chadema ni Dhaifu kama huko CCM B Mbona kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi kwenye chaguzi mbalimbali kutumia mabilioni ya pesa za walipa kodi kuwanunua madiwani wabunge wenyeviti wa chadema,
 
Dovutwa katolewa kafara kuna sinema zinatengenezwa na CCM zipo njiani zinakuja
 
Mbona wakati ule wa uchaguzi mlikuwa mnakioorodhesha hicho chama ili mabwana zenu waone kuna vyama vingi havikutendewa haki? Sasa mnamkimbia Dovutwa!!
Ukiona hivyo ujue Dovutwa kagoma kuunga mkono Juhudi za mtukufu
 
Kwani Chama Chao hakina demokrasia? Kujitoa nako ni demokrasia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…