Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

Lazima wajibu tuhuma, CCM kuna demokrasia aise, lazima waende ama sivyo watupwe kule...
 
What goes around comes around. Kwa mila zetu za Kiafrika, wazee hupewa heshima,tusifukue makaburi.
cheusimangala_ umeleta sintofahamu kwenye chama dume.
 
Kazi ngumu sana kwa membe!hapa nayaona mambo mawili!
1:Aende kisha baada ya mazungumzo watoe clip za kumlisha maneno ya kumdhalilisha!!!!ili apoteze heshima na mvuto wa kisiasa!!!
2:Asiende aonekane mtovu wa nidhamu avuliwe uanachama!!!kazi kweli kweli!!!!
 
Usilinganishe TZ na UK mkuu kule kura ni huru, ukiona mtu kashindwa basi kashindwa kweli hapa kwetu mnatumia bunduki tu. Eti ataadhibiwa kwa box la kura watu wengine buana!! wakati mtu akionyesha nia ya kutaka kugombea uraisi kupitia CCM anafanyiwa figisu kama hizo ya kudukuliwa na kuitwa kwenye kamati ya maadili halafu ETI ataadhibiwa kwa box la kura? Mkiruhusu demokrasia na kuwaachia wananchi kuamua kweli Jiwe anaweza kuhukumiwa kwa box la kura ila kwasasa TZ wenye maamuzi ni Jeshi, TISS, mahakama, Spika na Msajili wa vyama vya siasa, kwa kupokea amri kutoka kwa Amiri Jeshi mkuu. WANANCHI HATUNA MAAMUZI.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Tibaigana Alfred alijiunga lini nae? Maana alionba nafasi ga kugombea ubunge jimbo la Tibaijuka Kajumulo, akapigwa chini. La muhimh tuzingatie kwamba viongozi almost wote waandamizi wa serikali ni pro CCM
Hivi hiyo Zelothe Stephen amejiunga lini na chama cha mapinduzi ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usilinganishe TZ na UK mkuu kule kura ni huru, ukiona mtu kashindwa basi kashindwa kweli hapa kwetu mnatumia bunduki tu. Eti ataadhibiwa kwa box la kura watu wengine buana!! wakati mtu akionyesha nia ya kutaka kugombea uraisi kupitia CCM anafanyiwa figisu kama hizo ya kudukuliwa na kuitwa kwenye kamati ya maadili halafu ETI ataadhibiwa kwa box la kura? Mkiruhusu demokrasia na kuwaachia wananchi kuamua kweli Jiwe anaweza kuhukumiwa kwa box la kura ila kwasasa TZ wenye maamuzi ni Jeshi, TISS, mahakama, Spika na Msajili wa vyama vya siasa, kwa kupokea amri kutoka kwa Amiri Jeshi mkuu. WANANCHI HATUNA MAAMUZI.
 
Watoto wao watakula wapi wewe watenda tu.. Hii ni km familia issue tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katibu mkuu mstaafu wa CCM mzee Yusuph Makamba amezoeleka kwa nukuu zake za kwenye Biblia takatifu kila awapo kwenye tukio muhimu.

Sitashangaa kumuona mzee Yusuph au Joseph kama anavyoitwa na wazungu akitimba na Biblia katika kikao cha kamati ya maadili kinachomsubiri. Na sitaona ajabu atakoposhuka na mistari ya kibiblia itakayoonyesha katika wajumbe wale wa kamati ya maadili hakuna hata mmoja mwenye " HAKI" ya kustahili kumnyooshea kidole yeye mzee Makamba.

Kuna wakati mwokozi wetu Yesu aliwakuta wayahudi waliokuwa wanajiandaa kumuua kwa kumpiga mawe mwanamke mzinifu, Yesu akawauliza je ni yupi kati yenu ambaye hajawahi kutenda dhambi?.......wakakimbia wote na kumwachia yule mwanamke UHAI wake.

Binafsi nampongeza sana Rais Magufuli kwa kuwasamehe wale waliotubu kwa kuwa hawakujua ( kiroho) walilokuwa wanalitenda.

Niwatakie Sabato njema.

Maendeleo hayana vyama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…