babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Ataenda tu,,mpk sasa atakua kashakutana na figisu Kibao hasemi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataenda tu,,mpk sasa atakua kashakutana na figisu Kibao hasemi tu.
Wafukuzwe tu hao kwanza mmoja wao ana uraia wa mashaka!
Hivi kama hawana nauli inakuaje?Habari zilizotufikia hivu punde zinasema kamati ya CCM inayoendelea na vikao vyake jijini Mwanza inasema imewaita Benard Membe,Yusufu Makamba na Abdulahman Kinana kufika Mwanza mara moja kujielezaView attachment 1291287View attachment 1291288View attachment 1291289
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sio chadema ambayo hata ukigombea uongozi peke yako unabaniwa ili dikteta aendelee kutawala!Jiwe halina shukurani. Kabisa!! Kinana kuhojiwa!! Wapi na wapi. Where n where
Mawaziri wakuu wawili waliamua kurudi nyumbani ili warejeshewe mashamba yao.Hawa matajiri wanashida gani na mashamba kwa umri huu wakati wana ma account mpaka nje!
Siyo ccm hii ya sasa Mkuu. Mwenye maauzi ni mtu mmoja tu na siyo mfumo kama unavyodai.CCM ina mfumo wake, na ndani ya CCM hakuna mkubwa zaidi ya mfumo.
Ya sumaye na Membe yanatofauti gani, wote wanataka vyeo na wote wamepigwa mkwara na vyama vyao wasisogelee nafasi za maboss hata kama katiba zao zinaruhusuMbowe na mchepuko wake Joyce ndio kamadi kama unabisha muulize sumaye
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu ataki cheo mjuba kwan hata huyo magu hataki cheo na kuabudiwa...Ya sumaye na Membe yanatofauti gani, wote wanataka vyeo na wote wamepigwa mkwara na vyama vyao wasisogelee nafasi za maboss hata kama katiba zao zinaruhusu
Usilinganishe TZ na UK mkuu kule kura ni huru, ukiona mtu kashindwa basi kashindwa kweli hapa kwetu mnatumia bunduki tu. Eti ataadhibiwa kwa box la kura watu wengine buana!! wakati mtu akionyesha nia ya kutaka kugombea uraisi kupitia CCM anafanyiwa figisu kama hizo ya kudukuliwa na kuitwa kwenye kamati ya maadili halafu ETI ataadhibiwa kwa box la kura? Mkiruhusu demokrasia na kuwaachia wananchi kuamua kweli Jiwe anaweza kuhukumiwa kwa box la kura ila kwasasa TZ wenye maamuzi ni Jeshi, TISS, mahakama, Spika na Msajili wa vyama vya siasa, kwa kupokea amri kutoka kwa Amiri Jeshi mkuu. WANANCHI HATUNA MAAMUZI.Heshima ya nchi lazima irudi tujenge nchi yetu sote pamoja bila makundi wala ubaguzi. Hatuwezi kubembelezana na mtu yeyote awe wa CCM au Upinzani, tufike mahali tukubaliane wote kwa pamoja kufuata sheria ambazo tumejiwekea. Kuheshimu mamlaka bila kuvunja sheria nk. angalia UK wapiga kura wamewaadhibu wote waliokuwa wanabeza Brexit na leo hii Theresa May analia uchungu mkubwa maana Boris ameshinda kwa kishindo. Sio kwamba British tax payers wanamkubali sana bali kupeleka message kwamba wapiga kura ndio waamuzi wa kila jambo Serikalini.
JPM kama hafanyi kazi alizopewa na wapiga kura wake ataadhibiwa kwenye box la kura na wala sio majungu ya kwenye mitandao na mavikundi ambayo yalifikiri Tanzania ni yao pekee. Tusisahau makundi makundi hasa wakati wa JMK.
Hivi hiyo Zelothe Stephen amejiunga lini na chama cha mapinduzi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usilinganishe TZ na UK mkuu kule kura ni huru, ukiona mtu kashindwa basi kashindwa kweli hapa kwetu mnatumia bunduki tu. Eti ataadhibiwa kwa box la kura watu wengine buana!! wakati mtu akionyesha nia ya kutaka kugombea uraisi kupitia CCM anafanyiwa figisu kama hizo ya kudukuliwa na kuitwa kwenye kamati ya maadili halafu ETI ataadhibiwa kwa box la kura? Mkiruhusu demokrasia na kuwaachia wananchi kuamua kweli Jiwe anaweza kuhukumiwa kwa box la kura ila kwasasa TZ wenye maamuzi ni Jeshi, TISS, mahakama, Spika na Msajili wa vyama vya siasa, kwa kupokea amri kutoka kwa Amiri Jeshi mkuu. WANANCHI HATUNA MAAMUZI.Heshima ya nchi lazima irudi tujenge nchi yetu sote pamoja bila makundi wala ubaguzi. Hatuwezi kubembelezana na mtu yeyote awe wa CCM au Upinzani, tufike mahali tukubaliane wote kwa pamoja kufuata sheria ambazo tumejiwekea. Kuheshimu mamlaka bila kuvunja sheria nk. angalia UK wapiga kura wamewaadhibu wote waliokuwa wanabeza Brexit na leo hii Theresa May analia uchungu mkubwa maana Boris ameshinda kwa kishindo. Sio kwamba British tax payers wanamkubali sana bali kupeleka message kwamba wapiga kura ndio waamuzi wa kila jambo Serikalini.
JPM kama hafanyi kazi alizopewa na wapiga kura wake ataadhibiwa kwenye box la kura na wala sio majungu ya kwenye mitandao na mavikundi ambayo yalifikiri Tanzania ni yao pekee. Tusisahau makundi makundi hasa wakati wa JMK.
Mzee Makamba na Kinana msiitikie wito huo wa ajabu ajabu unaolenga kuwadhalilisha zaidi baada ya kutendewa unyama wote ule wa kudhalilishwa na Musiba na pia kudukuliwa maongezi yenu private kinyume cha sheria za faragha.
Wazee msikubali kata kata washauri watakoutumwa pembeni yenu kujifanya wanakuja kwa busara ili kuwabembeleza na kuwasihi mwende.
Huyo aliyemtuma Musiba kuwavunjia heshima mbele ya Jamii anataka awatumie nyinyi wenyewe kujisafisha kwa siasa zake zake za kuumiza wenzie.
Nyie makanali wa Jeshi na watumishi wa CCM, hamuwezi kudhalilishwa namna hii na nyie mkaenda kupiga magoti.
KUBALINI MFE KWA HESHIMA, VIZAZI VITAWAKUMBUKA, MSIENDE KUPIGA MAGOTI
Membe Kama una nia ya kugombea uraisi kupitia CCM wewe nenda kawasikilize, kama huna nia ya kugombea uraisi basi potezea maana wewe ndo umetendewa kosa, umedukuliwa mazungumzo private kabisa kinyume cha haki yako faragha na uhuru wa kutoa maoni kwa mujibu wa nchi