ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
Waondoke CCM ndo wataelewa why no body can stop reggae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaanza kukera sasa, Jiwe ni muuaji1 unasemaje anapenda watu? Kumbe wewe ni praise team with no iota of comon sense maana mambo mengine kuyaona hayahitaji shule it ia a matter of common sense....Vinginevyo ni shujaa ma mpambanaji mzuri kama Magufuli, ila Magufu amemzidi Lissu ki maarifa mapana ya ki science na upendo wa kweli kwa bidam wenzake
Fine, nikuulize kidogo, je CCM ikiondolewa madarakani, akina Kinana &Co.Ltd wakiondoka "nobody can stop reggae is it going to make sense anymore?Waondoke CCM ndo wataelewa why no body can stop reggae
Mh! How CCM ndio inapeleka watu mbinguni?Naona wewe hutaki hawa wazee waende mbinguni!
They are no longer employed! Labda kuogopa Kukolibwa!Hebu jaribu wewe kutoenda kazini kwako!
Kwakweli sioni chochote ambacho Kinana, Makamba na Membe watapoteza wakiamua kutokwenda huko Kamati ya Maadili, zaidi wao ndio watakuwa wamepata faida sana kwa kuachana na CCM..
CCM ni kusanyiko la Binadamu WAPUMBAVU.
Kila maisha yana chanzo, hivyo chanzo siyo mnyororo wa utumwa! Nani anamzidi Nyerere chanzo ndani ya tanzania?Wewe umewajua kupitia CCM. Bila ya CCM bila shaka usingemjua Membe, Kinana wala Makamba. Hata maisha waliyonayo chanzo chake ni CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Looks you well conversant with their day to day life! This translates kuwa kama siyo biashara zao, CCM is nothing to them! wako pale kwa maslahi, siyo kwa vile wanaipenda CCMThey have business and among their customers are CCM bosses!
Sijaingia kwenye anga zake!Kama ni hivyo mbona wewe hajakuua?
Nyerere alibadili chama?Kila maisha yana chanzo, hivyo chanzo siyo mnyororo wa utumwa! Nani anamzidi Nyerere chanzo ndani ya tanzania?
Usipoitaja CHADEMA waweza kufa!CCM kuna vingi ndio maana Lowassa amerudi tofauti na hapo Ufipa chama kizima mnategemea ruzuku ya kila mwezi ya serikali.
Nyerere alitishia and was serious kuondoka! wakajirekebisha alivyotakaNyerere alibadili chama?
Na kama unaona chanzo hicho cha maendeleo kinaendelea kukuletea maendeleo una sababu gani ya kukiacha hicho chanzo cha maendeleo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jiulize kwsnza kwa nini wanatoka na kurudi...??Kwakweli sioni chochote ambacho Kinana, Makamba na Membe watapoteza wakiamua kutokwenda huko Kamati ya Maadili, zaidi wao ndio watakuwa wamepata faida sana kwa kuachana na CCM..
CCM ni kusanyiko la Binadamu WAPUMBAVU.
sema hata kubambikiwa kesi za ajabu ajabu, uonevu wa JiweKama wanajiamini kikamilifu kabisa hawajawahi hata kidogo kuihujumu Nchi kwa namna yoyote ile, hata wasipokwenda hakuna shida sana, lakini kama waliihujumu kwa namna yoyote ile, ni vema wakaenda na wawe wanyenyekevu.
Sasa wakati umefika, hakuna jiwe juu ya jiwe litakaloachwa salama.
Hata kama utakuwa na pembe kali kiasi gani, chini ya Mh. JPJM pembe zako zitapigwa CHAIN SAW kisha utashikishwa adabu.
Sent using Jamii Forums mobile app