Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

Ole,
Vipi mzee baba umepotea njia nini? Hili ni jukwaa la siasa na thread uliokuja kucoment inahusiana na mambo ya vyama, CCM wamewaita Membe na wenzake katika kamati ya maadili.

Kama wewe huna chama hii thread ilikuwa haikuhusu. Inawezekana hujui maana na misingi ya demokrasia ndio maana unasema Tz kuna demokrasia. Unataka fact gani zaidi ya kufutwa kwa uchaguzi mkuu 2015 Zanzibar? au pia hukuona mchakato mzima wa uchaguzi wa serikali za mitaa wa hivi karibuni tusichoshane.

Hapa tunatumia fake id unawezaje kumwambia mwenzako hujui kitu fulani kinavkinavyofanya kazi? Usikurupuke unapotaka kucoment Mkuu, sometime kunyamaza pia inatosha.
 
u
kabisa,
uko sahihi,na hii imesaidia sana kuondoa umimi,ujuaji na kujinafasi
as long as hakuna atakayemwita jpm huko mbeleni,mwache awnyooshe hawa watu
heshima iwepo
Hata yeye anaweza kuitwa baadae, ni issue ya kuja kichaa mmoja tu akachukua madaraka ya ofisi kubwa kuliko zote hapa nchini danganyika, na akafanya anavyotaka.

Rais wa danganyika anachopenda kufanya ndiyo inakuwa katiba ya wakati huo. Hivyo akija mtu bangi zake za kiutawala zikamtuma ndivyo sivyo akajifanya anatoa ushauri ili mahakama ya wakati huo iangalie kama inaweza kuwa na kautaratibu ka kuwahoji hata marais wastaafu. Unadhani mahakama itaukataa ushauri wa rais wa danganyika?

Kwa maneno mengine, kwa misingi hii tunayoenda nayo ya mtu mmoja kumiliki katiba na kufanya atakavyo, hata huyu mwenyewe baadae anaweza kuitwa!!
 
COMRED anajuta kazi yake yote pale counting centre haithaminiwi tena.
 
Ushahidi unaopatikana kwa kuvunja sheria, siyo ushahidi halali.

Ukija kwangu ukafunga vinasa sauti kwa siri halafu ukanisikia namteta Magufuli hulu. nikiwa na mke wangu huwezi kunipeleka kikao cha maadili cha chama kwa ushahidi huo
"Uchwara" kwasababu anaufanya huo ndani ya sheria ambayo aliiapia na wote tunaliona kosa na Mungu pia. Kutofuata sheria kumetamalaki
 
Hata kinana na makamba watakuwa wamejizalilisha. Ila watakwenda lazima kwa sababu wana makando kando mengi mabegani mwao. Ngao yao ni uanachama wao wa sisihem, wakikosea step chama kikawafukuza basi hata maisha yao haya ya uzeeni yanaweza kugeuka na kuwa magumu sana tofauti na wanavyowaza.
Kumbe ni hivooooo
 
Kama Risasi alizopigwa Lissu pale dom jamaa wanamgeuzia kibao mbowe eti amefanya sababu za Uenyekiti wa Chadema basi hio ya kuwarekodi wakina Kinana sio inshu kwa Ccm.
 
Nyerere alisema CCM siyo mama yangu! Mkiamua kuwa na ujasiri wa Nyerere mkatamka hivyo na mkafukuzwa (ingawa Nyerere hakufukuzwa) uanachama, mtapoteza nini la maana katika Dunia hii? What significant loss do you stand to suffer in these few remaining years of life on earth?
Lipi linawajengea heshima kati ya kuitwa kama mbwa na kufukuzwa kishujaa?

Twende kanisani na msikitini tusali, ya dunia na CCM tuwaachie Bashiru, Polepole na Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyerere alisema CCM siyo mama yangu! Mkiamua kuwa na ujasiri wa Nyerere mkatamka hivyo na mkafukuzwa (ingawa Nyerere hakufukuzwa) uanachama, mtapoteza nini la maana katika Dunia hii? What significant loss do you stand to suffer in these few remaining years of life on earth?
Lipi linawajengea heshima kati ya kuitwa kama mbwa na kufukuzwa kishujaa?

Twende kanisani na msikitini tusali, ya dunia na CCM tuwaachie Bashiru, Polepole na Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
CCM kuna vingi ndio maana Lowassa amerudi tofauti na hapo Ufipa chama kizima mnategemea ruzuku ya kila mwezi ya serikali.
 
Retired, Mimi nafikiri ni vema waende. Kuliko kufukuzwa huku wanapakaziwa (unajuwa CCM walivyo bingwa wa kupakaza) mambo ya hovyo wao waende na waombe kikao chao kiwe wazi kwa waandishi kisha watiririke ukweli wa kinachojiri ndani ya CCM na kwa nini wao wanaona huo ni ushamba.

Hapo hata wakifukuzwa heshima yao itakuwa kubwa sana na baada ya kipindi cha jiwe kuondoka au kufyekwa, majina ya hawa wazee yatarudishwa kileleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom