Halmashauri mkuranga wala pesa za walimu

MPARE KIBOGOYO

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
405
Reaction score
279
Nawasalimu kwa jina la BRN....moja kati ya halmashauri ya kiuni ni hii ya Mkuranga..kulikuwa na semina ya walimu iliyokuwa chini ya British council but dakika za mwisho wajanja wamepiga ela na kupeleka mavitabu ya baseline mashuleni bila mwongozo wowote..

Dah hawa watu hawana huruma matonge yote wanakula wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…