Halmashauri ya jiji la Arusha yaandaa maandamano makubwa ya michezo April 26, 2018

Promo ya bure kwa yale mengine yaleeeeee. Amina Mungu amejibu maombi kwamba maand&&&@@.oooo ruksa Hivi wanaelewa matokeo ya hii kitu? Hahahhh wajinga ndio waliwao
 
safi yangefanyika nchi nzima
 
Promo ya bure kwa yale mengine yaleeeeee. Amina Mungu amejibu maombi kwamba maand&&&@@.oooo ruksa Hivi wanaelewa matokeo ya hii kitu? Hahahhh wajinga ndio waliwao
Narudia:
Tz revo...tion is facilitated beyond human understanding and beyond human control.
 
Kabla hamjafikiria kuweka maandamano yenu batili tofauti na kusudio lililopo, mngemtafuta mwenyekiti wenu awape tip kwanza..
 
Tulisubiria kwa hamu upenyo kama huu.. Naomba na Bashite afanye kama hivi kule Dar
 
DC wa Arusha kwa kushirikiana na DED (wote CCM) wamewaandaa Vijana wa kuandamana April 26, 2018; siku ya maandamano mengine yanayoratibiwa na Mange kutetea nchi irudi kwenye misingi iliyoachwa na waasisi.

 
wana Arusha kitu kisha pakwa KY kazi kwenu sasa
 
kama ni kweli kabla jogoo hajawika simu kutoka juu litakuwa limeshatua Arusha kwa Gambo
 
Kuna post mange aliirusha march 13 ya rais wa romania wananchi walimchenchia kipindi anahutubia taifa uwanjan, hii inaweza kuwa kama hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…