MTUNZA AMANI
Senior Member
- Jun 2, 2012
- 187
- 21
Watumishi wapya siku zote serikalini huchelewa kuingia kwenye payrall na hivyo kushindwa kupata mshahara wa miez miwili au mitatu ya mwanzo!!
Nyie mmeajiriwa mwez huu tu mnataka mpate salary ilhali hata kwenye payrall hamjaingia na wala check namba hamjapata!! sasa mtalipwaje??
Pia sio kweli kwamba halmashauri haitaki kuwalipa mishahara yenu,kwani nani alokwambia halmashauri ndo inalipa mishahara?? mishahara inalipwa na hazina,na hazina hawawez kukupa mshahara km haupo kwenye payrall na hauna check namba!!!
Hiyo laki moja na nusu ni huruma ya mkurugenz tu kawakopesha ili iwasaidie kwa chakula na mkishaingia kwenye mfumo wa payrall na kuanza kupokea mshahara DED atawakata pesa zake alizowakopesha!!
Kutopata mshahara miez miwili au mitatu ya mwanzo baada ya kuajiriwa serikalini ni jambo la kawaida tu waheshimiwa walimu!!
Uvumilivu? Teh ukimiss mshahara hadi uje udai upewe mvi zimeotaMimi nimeripoti na nimepewa ila si sababu ya wenzangu kukosa,kifupi ni kuwa kama ulikua hujaripoti tarehe moja hadi tano na kumaliza kujaza mkataba mshahara huu wa kwanza ni ngumu kupata,nasema ivo kwakua nimeambiwa halmashauri na mimi nimepata kwakua nilikamilisha,mshahara wa mwezi wa tano wote lazima mtapata kwaiyo muwe wavumilivu japo inauma sana
Watumishi wapya siku zote serikalini huchelewa kuingia kwenye payrall na hivyo kushindwa kupata mshahara wa miez miwili au mitatu ya mwanzo!!
Nyie mmeajiriwa mwez huu tu mnataka mpate salary ilhali hata kwenye payrall hamjaingia na wala check namba hamjapata!! sasa mtalipwaje??
Pia sio kweli kwamba halmashauri haitaki kuwalipa mishahara yenu,kwani nani alokwambia halmashauri ndo inalipa mishahara?? mishahara inalipwa na hazina,na hazina hawawez kukupa mshahara km haupo kwenye payrall na hauna check namba!!!
Hiyo laki moja na nusu ni huruma ya mkurugenz tu kawakopesha ili iwasaidie kwa chakula na mkishaingia kwenye mfumo wa payrall na kuanza kupokea mshahara DED atawakata pesa zake alizowakopesha!!
Kutopata mshahara miez miwili au mitatu ya mwanzo baada ya kuajiriwa serikalini ni jambo la kawaida tu waheshimiwa walimu!!
Uvumilivu? Teh ukimiss mshahara hadi uje udai upewe mvi zimeota
nahilo swala ka tarehe 1 hadi tano si kweli, mi nilireport tarehe 9 nikafungua account NMB tarehe 12 na mwezi huo huo
niapata mshahara, ni ushap tu wa mkurugenzi na watendaji wake...
Wakurugenzi Wote Walipewa Info Kuwa Walioripoti Na Kumaliza Kujaza Mkataba Siku 5 Za Kwanza Watapata Mshahara Wa Mwezi Wa 4,kinyume Na Hapo Ni Mwezi Ujao
Ulitaka kuandika vizuri ukaboronga unadai mkulugenzi halipi mshahara kwa hiyo mwajili wangu ninani ? nakwanin sijaingia kwenye payral ? huoni
kiongozi umetoa jibu zuri sana tena sana,vijana wasiwe na haraka,binafsi nilikaa miezi 7 ,so vumilien vijana