Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Sheria za nchi lazima ziheshimiwe, hususan katika sekta ya ujenzi.Mr jidu uko sahihi kabisa na huo mtirirko wako , ebu tuwe wakweli yaaani hata vibanda vya makuti , choo na nyumba ya chini 2 to 4 bedrooms niwe registered kweli? huu sasa UONEVU.
Mr bandeko hakika umenifanya nitafakari upya kuhusu ili shauri ila matajiri wengi hawafunguki kuhusu mikataba , ngoja tajaribu kumdodosa.,mpaka tajiri yako anaingia mkataba alikuwa hajui cha kufanya iwapo kutatokea breach of contract by either side?
na kama kila kitu kiko sawa na amelipa tozo zote zinazostahiki kulingana na mkataba pamoja na miongozo mbalimbali kwanini asirudi kwenye mamlaka husika kupeleka malalamiko yake?
na mwisho kwenye mkataba alioingia na manispaa husika hakuna kipengele kinachoonyesha ulipaji fidia iwapo mmoja atavunja mkataba?
SHERIA ZA NCHI ZINGEKUWA ZINAHESHIMIWA TUSINGEKUWA HAPA TULIPO MR JIDU!!!!!!!!!Sheria za nchi lazima ziheshimiwe, hususan katika sekta ya ujenzi.
Unajenga kiwanja kilichopimwa na serikali, hlafu sheria za ujenzi hazifuatwi.
Watu wanafikir sheria za ujenzi ni za watu fulani tu.
Kimsingi tungefahamu site yako iko wapi, tunawatonya mamlaka husika na moja kwa moja unatozwa fine ya Tshs 5million kama hutaki kupelekwa mahakamani.
Hahaha....... porini huko nilidhani huu upande wa Wanene huku SaigonPSSSF karibu na pori watu wanasema la Gaddaf eti😀
😳😳Hahaha....... porini huko nilidhani huu upande wa Wanene huku Saigon