Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei ni rafiki ila tatuzo ni kisiwani uko nikama pamesaulika.Karibuni kisiwa cha mafia, kuwekeza kwenye utalii na uchumi wa buluu. Mafia inakua sana, kuwa sehemu ya ukuaji wake
Mkuu acha kuogopa binaadamu wenzio jipange tuHuko sio pa kwenda kichwa kichwa, pwani ina wenyewe[emoji57]
kuna investors wengi wamenunua maeneo, soon kutaamka mkuu. Kuna meli inatengenezwa, hadi june itakuwa imekamilika kuja kusaidiana na kivuko kilichopo sasa cha mv kilindoniBei ni rafiki ila tatuzo ni kisiwani uko nikama pamesaulika.
Hao wawekezaji wamenunua mwaka jana? Mafia imekaa miaka lukuki ila haina Jipya serikali itaki kuipa umuhimu wa maendeleo kwa kuogopa mambo kama ya Zazibar, Taiwan, Hong Kong hivyo visiwa vkkipata maendeleo figisu za kujitenga kua nchi kamiri kuanza, unafikiri CCM hawalijui, hicho kisiwa kitabaki hivo hivo miaka neenda miaka rudi, kama unavo ona visiwa vya pemba.kuna investors wengi wamenunua maeneo, soon kutaamka mkuu. Kuna meli inatengenezwa, hadi june itakuwa imekamilika kuja kusaidiana na kivuko kilichopo sasa cha mv kilindoni
Shida ile kisiwa haijawekewa mikakati ya kuiendeleza. Kwa visiwa vilivyopo nchini Tanzania Unguja pekee ndo ina nafuu kwani mikakati mingi inawekwa na inaendelezwa kwa kasi kupitia uchumi wa utalii. Kile kisiwa kingepata hata mbegu ya geochelone gigantia na mbegu za swala na kanga au peacock na species flani za mimea nadhani ingetangazika kiutaliiHao wawekezaji wamenunua mwaka jana? Mafia imekaa miaka lukuki ila haina Jipya serikali itaki kuipa umuhimu wa maendeleo kwa kuogopa mambo kama ya Zazibar, Taiwan, Hong Kong hivyo visiwa vkkipata maendeleo figisu za kujitenga kua nchi kamiri kuanza, unafikiri CCM hawalijui, hicho kisiwa kitabaki hivo hivo miaka neenda miaka rudi, kama unavo ona visiwa vya pemba.
umeme ni wa kuzalishwa kwa generator, bado kisiwa hakijaunganishwa na gridi ya taifa CrocodiletoothPana umeme wa uhakika wa cable kama zanzibar na pemba?
-Sisi wabara tujivunie kisiwa chetu halali bin halali.
Wakiunganishe haraka ni muhimu sana, pia hawakutaja ukubwa kwa sqm, wamesema square M 1 ni 3500/-,4000/-,4500/-,5000/-,sasa wamepima kwa ukubwa gani?umeme ni wa kuzalishwa kwa generator, bado kisiwa hakijaunganishwa na gridi ya taifa Crocodiletooth
ndio, pia unaweza kupita kwenye insta page ya kuona baadhi ya uwekezaji uliofanyika hivi karibuni.Hao wawekezaji wamenunua mwaka jana?