Ukiuliza kwanini mashirika ya umma mishahara yao ni tofauti na wizara na halmashauri utaambiwa haya mashirika yanazalisha fedha kwa serikali na kujiendesha.
Tuje kwa halmashauri huku kuna tofauti kubwa ya makusanyo kati ya halmashauri moja na nyingine lakini mishahara ya watumishi wote wa halmashauri ni sawa kwa kada husika nchi nzima.
Hebu angalia makusanyo ghafi mwaka 2018/2019
ILALA 58B
K/NDONI 34B
TEMEKE 33.3B
NANYAMBA 257.6MILL
Pamoja na makusanyo hayo bado afisa biashara wa ilala yuko scale moja na afisa biashara wa Nanyamba.
Kwanini mashirika yajipangie mishahara lakini halmashauri haziruhusiwi?
Kama nchi kuna sehemu tumekosea. Hili swala linahitaji mjadala wa kina.
Tuje kwa halmashauri huku kuna tofauti kubwa ya makusanyo kati ya halmashauri moja na nyingine lakini mishahara ya watumishi wote wa halmashauri ni sawa kwa kada husika nchi nzima.
Hebu angalia makusanyo ghafi mwaka 2018/2019
ILALA 58B
K/NDONI 34B
TEMEKE 33.3B
NANYAMBA 257.6MILL
Pamoja na makusanyo hayo bado afisa biashara wa ilala yuko scale moja na afisa biashara wa Nanyamba.
Kwanini mashirika yajipangie mishahara lakini halmashauri haziruhusiwi?
Kama nchi kuna sehemu tumekosea. Hili swala linahitaji mjadala wa kina.