Halmashauri ziruhusiwe zilipe watumishi wake kadri ya makusanyo kama ilivyo kwa mashirika ya umma

Kwani mishahara ya TRA ya Nanyamba ni tofauti na ya Ilala? Kama ni sawa ni kwa nini wakati makusanyo ni tofauti? Au unataka halmashauri iajili watumishi Kama vibarua, yaani madaktari na waalimu walipwe mishahara mapato yakiwa mazuri, yakipungua wasubiri kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…