Halmashauri ziwe na ubunifu katika kutekeleza agizo la Rais Samia la kutafuta Vyanzo vipya vya Mapato ili Wapiga kura wasiumizwe

Halmashauri ziwe na ubunifu katika kutekeleza agizo la Rais Samia la kutafuta Vyanzo vipya vya Mapato ili Wapiga kura wasiumizwe

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Akiwa katika mji wa Makambako Rais Samia amewapongeza viongozi wa Halmashauri kwa kuvuka malengo ya Ukusanyaji wa mapato na amewataka wabuni Vyanzo vipya vya Mapato.

Rais Samia amekuwa akisisitiza ubunifu mzuri wa Ukusanyaji wa mapato ya serikali mara kwa mara ili kuiongezea uwezo wa kutoa huduma kwa Wananchi.

Ombi langu kwa Wakurugenzi mjitahidi Ushuru mtakaoubuni uwe rafiki kwa Wapiga kura.
 
Jambo jema sana Rais Samia anatujari sana wananchi hataki wananchi wakandamizwe
 
Back
Top Bottom