Halmashaurini kuna posho?

Mwamba1961

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
626
Reaction score
409
Habari,

naomba mnijuze ndugu zangu, Hivi ukiwa umeajiriwa na Halmashauri kama Engineer kuna uwezekano wa kupata posho ???
 
Habari,

naomba mnijuze ndugu zangu, Hivi ukiwa umeajiriwa na Halmashauri kama Engineer kuna uwezekano wa kupata posho ???
Posho zipo lakini za kulenga kwa manati toafuti na taasisi nyingine.
Taasisi nyingine kila wiki unalamba posho ukitoka tu ofsini kwenda sehemu nyingine unalamba posho.​
 
Habari,

naomba mnijuze ndugu zangu, Hivi ukiwa umeajiriwa na Halmashauri kama Engineer kuna uwezekano wa kupata posho ???
Kazi za TAMISEMI kama unaweza zikwepa zikwepe tu mkuu! Sio kama nazidiss, ila ukweli ni hawajali struggle ulopitia kwenye Elimu yako....Thank me later
 
Habari,

naomba mnijuze ndugu zangu, Hivi ukiwa umeajiriwa na Halmashauri kama Engineer kuna uwezekano wa kupata posho ???
Kuna ofisi Yani ukienda hata kunya tu unapata posho, ila halmashauri inategemea na mkurugenz wenu
 
Habari,

naomba mnijuze ndugu zangu, Hivi ukiwa umeajiriwa na Halmashauri kama Engineer kuna uwezekano wa kupata posho ???
Jiandae na haya...

1. Kupelekesha na diwani/DC/DAS.

2. Kufwatiliwa na TAKUKURU hasa kama mradi una hoja/matatizo.

NB: Kama una option nyingine kaa mbali na halmashauri.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Posho za halmshauri inategemea na mapato ya ndani ya halmshauri mtu anaefanya kazi halmshauri ya jiji au manispaa huwezi mfananisha na wa halmshauri wilayani.


Sifa kubwa ya halmshauri ni majungu na kulogana
Majungu yanatokana na idadi kubwa ya wafanyakazi wa kike.
 
Jiandae na haya...

1. Kupelekesha na diwani/DC/DAS.

2. Kufwatiliwa na TAKUKURU hasa kama mradi una hoja/matatizo.

NB: Kama una option nyingine kaa mbali na halmashauri.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app

Nilishajiandaa kukabiriana nao.. ila nitafanya kazi yangu kama mtaalam tu
 
Kila mbuz hula kwa Urefu wa kamba yake
Engeneer unawaz nn njoo tufanye kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…