Basi unajionaga bandiiidu mwenyewe!! HofyoooooHizi sio pigo za wanaume...
Basi unajionaga bandiiidu mwenyewe!! Hofyooooo
Sina hela mkwe🤣🤣🤣Hizi hasira umetoa wapi mkwe...
Sina hela mkwe🤣🤣🤣
😂 hukumbuki au hutaki kukumbukaHongereni mnaokumbuka.
zipi izoHizi sio pigo za wanaume...
ni MarimbaNiligundua ni Mbavu za kukosa lishe na siyo sixpack
huyo hafaiiNi mtu ambaye anatambulishika kwa hakika na alikuwa yupo real kwangu anaweza sema lolote anaweza kukuamsha hata usiku wa manane ili umsikie tu anavyo jamba🤣🤣🤣🤣
Total alinipenda ila sasa huu ujamii forum wangu a.k.a ujuhaa
Siwajibiki kwa hilo, mkitengana sio sababu ya kuona/kusema ubaya/kasoro za mwenzio.😂 hukumbuki au hutaki kukumbuka
nn kilikukuta mkuu, kuwa muwazi tu😅Kwake sikuona shida yeyote ila mabraza zake walikua na pigo za kiwaki Sana ibilisi kbs wale jamaa
wapendanao hawaachani, ukiona mmefanikiwa kuachana ujue mlikuwa wapita njiaSiwajibiki kwa hilo, mkitengana sio sababu ya kuona/kusema ubaya/kasoro za mwenzio.
Hahahah waungwana wa kimatumbi huvuana nguo. Mara hajui kupika au ananuka K ilihali mtu umeishi nae zaidi ya mwezi mmojaKama hukuyaona ni vyema kutokuyasema pia. Mapenzi yakiisha waungwana hustiriana.
🤣🤣🤣🤣Jambazi kasoro silaha weeee
Kuna sababu tusidanganyane hawaachani.wapendanao hawaachani, ukiona mmefanikiwa kuachana ujue mlikuwa wapita njia
🤣🤣🤣🤣
Sasa mie kosa langu nini jamani🤷🤷🤷🤷
Kidogo tu sio sana🤣Unataka kuteka Mpesa yangu
Sawa sawaKama hukuyaona ni vyema kutokuyasema pia. Mapenzi yakiisha waungwana hustiriana.
Kweli haya mambo ukiendekeza macho ya mwili lazima uangukie pabaya, kwa hiyo kalio likakosa thamani kisa ufupi!!Ukipenda hauoni.
Unapokuwa kwenye mapenzi na mtu ni ngumu kuona mapungufu yake sababu ubora unaopenda kwake, unafanya upuuzie mapungufu aliyonayo. Kitaalamu hali hiyo inaitwa "Halo Effect".
Ila mwisho wa siku mapenzi huisha ndipo utakapo yaona hayo mapungu uliyo yapuuza.
binti sayuni licha ya kuwa na tako lakinbaada ya mapenzi kuisha niligundua kumbe ni mfupi sana[emoji23][emoji23], Ebu tuwambie ww uligundua nini?
Ukipenda hauoni.
Unapokuwa kwenye mapenzi na mtu ni ngumu kuona mapungufu yake sababu ubora unaopenda kwake, unafanya upuuzie mapungufu aliyonayo. Kitaalamu hali hiyo inaitwa "Halo Effect".
Ila mwisho wa siku mapenzi huisha ndipo utakapo yaona hayo mapungu uliyo yapuuza.
binti sayuni licha ya kuwa na tako lakinbaada ya mapenzi kuisha niligundua kumbe ni mfupi sana[emoji23][emoji23], Ebu tuwambie ww uligundua nini?
🤣🤣🤣🤣Hayo
ni Marimba