Halo, naomba mnikaribishe

Halo, naomba mnikaribishe

Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidipo.
 
Karibu sana mkuu ila vinywaji vmesha sijui unatumia juisi ya tango
 
Karibu mkuu Unaeza kuniPM nikupe maelezo zaidi jinsi ya kuenjoy JF.
 
Back
Top Bottom