Wazi kabisa!shusha network mpaka E, utanishukuru, hakuna kuibiwa hapo
yeah! Kwa 2G ukiweka vocha ata usipojiunga washa data tu2g si ndio
huenda ulikuwa na kifurushi kingne nje na hyo 1000Umeelewa ujumbe wa halotel na maelezo yangu nimununua kifurushi Cha elf moja ila naletewa ujumbe wa kifurushi cha elf tatu. Napo hapo ni matumizi yangu
Hao ndo majizi kupindukiaHamia TTCL
Shida sio vocha, huko usijaribu kabisa. Fuata huu ushauri, utakuja kulia kilio cha mbwa koko[emoji24][emoji24]Shida vocha na mawakala wa kuweka na kutoa pesa