njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Jamaa walikuwaga poa sana kwa unafuu wa vifurushi na speed ila kwa sasa ni disaster hawafai kabisa, waepuke waepuke waepuke speed kama konokono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi walivyoondoa kifurushi cha usiku cha buku mbili cha mkesha wa kudownlioad nami nimeama.kile ndo kilikuwa nafuu lakini mengine yoote hawana nafuu yoyote naweza nunua bando na likaisha hata bila kutumiaJamaa walikuwaga poa sana kwa unafuu wa vifurushi na speed ila kwa sasa ni disaster hawafai kabisa, waepuke waepuke waepuke speed kama konokono
Umehamia wapi?Mi walivyoondoa kifurushi cha usiku cha buku mbili cha mkesha wa kudownlioad nami nimeama.kile ndo kilikuwa nafuu lakini mengine yoote hawana nafuu yoyote naweza nunua bando na likaisha hata bila kutumia
Ila net ya tigo iko slow, huwezi linganisha na voda. Sema voda kina cha maji kirefuItoshe kusema nimehamia tigo
Wewe utakuwa umetumwa na upande wa piliJamaa walikuwaga poa sana kwa unafuu wa vifurushi na speed ila kwa sasa ni disaster hawafai kabisa, waepuke waepuke waepuke speed kama konokono
Watahangaika bure mwisho wasiku watarudi Voda na halotel.Ila net ya tigo iko slow, huwezi linganisha na voda. Sema voda kina cha maji kirefu
Voda mbona price zao ni reasonable tu?Ila net ya tigo iko slow, huwezi linganisha na voda. Sema voda kina cha maji kirefu
30K per monthVoda mbona price zao ni reasonable tu?
YanWatahangaika bure mwisho wasiku watarudi Voda na halotel.
Mitandao hii inatakiwa ujue unafata nini kama unafata unafuu wa vifushi fata lakini Kama spidi na huduma nzuri lazima pesa ikutoke tu hakuna namna.
ipoje hkuSijutii kutumia airtel
Halotel wananyakua chap bila kuremba nimetumia jitihada zote kama kuweka updates off na kupunguza quality video lakini wapi na wakati mwingine nikienda kwny chart ya matumizi ya data nakuta nimepigwa kitu kizito Mb kama 200 sijazitumia na wamekata bandoSasa hv nao wamekuwa wezi, wanaiba data.
hakika hawako rafikii NumbisaNilishawasahau waendelee tu na bei zao mbovu mbovu