Inasumbua Leo tu auMtandao wenu mmeufanya kuwa wa hovyo. Hakuna kutoa pesa iwe benki au kwenu wenyewe. Hamtoi taarifa kuwa kuna changamoto. Mbona mnafanya dunia kuwa ya kizamani sana?
Daah Pole mkuuYaani leo ndio komesha kabisa. Siku nyingine ni tiamaji tiamaji