NITAKUKAMATA TU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 347
- 432
Habari ndugu wanajamvi.
nitoe pole pole za dhati kwa watanzania WOTE ,kutokana na msiba na janga La kuanguka kwa jengo La kariakoo.
Baada ya pole hiyo, nipende kutoa malalamiko YANGU kwenda kwa mtandao WA laini za simu, kampuni ya HALOTEL.
Kampuni hii imeshindwa kulinda wateja wake kwa kuruhusu ,watu tusio watambua kututumia meseji za UGANGA,KUJIUNGA FREEMASON,TUMA NAMBA HII,KUUNGANISHWA NA HUDUMA biła ridhaa yetu,mfano-HALOSOKA,na sms zingine zinazoendana na hizo.
Jambo hili La kupokea jumbe za namna hiyo kupitia laini ya halotel,limekuwa mara kwa mara likijitokeza na kuwa kero kwa baadhi yetu.
HII ni tofauti na mitandao mingine ambayo meseji za namna hiyo ni agharabu kuziona.
Natoa Lai kwa mtandao WA halotel ,kupambana kututatulia jambo Ili na kuzuia namba zetu kuweza kujulikana na watu hao wanaotutumia jumbe biła lidhaa yetu.
Asanteni
nitoe pole pole za dhati kwa watanzania WOTE ,kutokana na msiba na janga La kuanguka kwa jengo La kariakoo.
Baada ya pole hiyo, nipende kutoa malalamiko YANGU kwenda kwa mtandao WA laini za simu, kampuni ya HALOTEL.
Kampuni hii imeshindwa kulinda wateja wake kwa kuruhusu ,watu tusio watambua kututumia meseji za UGANGA,KUJIUNGA FREEMASON,TUMA NAMBA HII,KUUNGANISHWA NA HUDUMA biła ridhaa yetu,mfano-HALOSOKA,na sms zingine zinazoendana na hizo.
Jambo hili La kupokea jumbe za namna hiyo kupitia laini ya halotel,limekuwa mara kwa mara likijitokeza na kuwa kero kwa baadhi yetu.
HII ni tofauti na mitandao mingine ambayo meseji za namna hiyo ni agharabu kuziona.
Natoa Lai kwa mtandao WA halotel ,kupambana kututatulia jambo Ili na kuzuia namba zetu kuweza kujulikana na watu hao wanaotutumia jumbe biła lidhaa yetu.
Asanteni