Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Mi nilisajili hata siku 3 hazijaisha wazee wa freemason wakaja,tuma namba hii wakaja. Nikajiuliza hawa namba yangu wameipataje??kiukweli HALOTEL imekuwa kero kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nilisajili hata siku 3 hazijaisha wazee wa freemason wakaja,tuma namba hii wakaja. Nikajiuliza hawa namba yangu wameipataje??kiukweli HALOTEL imekuwa kero kubwa
Kweli sana sana halmashauri hizi huwa wanafanya huo mchezo sanaMkuu,
Unajuaje tatizo lipo Halotel?
Tanzania watu wanatoa namba sana, kila sehemu ukienda unaandika namba ya simu.
Vipi kama kuna watu wanazikusanya hizi namba na kuzitumia kwa mass marketing bila ya kupata namba kutoka Halotel?
Naelewa Halotel wanaweza kuweka anti spamming measures, lakini zaidi ya hapo kama watu wanatoa namba kirahisi yu, ukienda ofisi yoyote unawaachia namba yako, unajuaje kama hawauzi hizo namba?
Tanzania inahitaji consumer protection groups and advocacy na sheria kali za data protection.Kweli sana sana halmashauri hizi huwa wanafanya huo mchezo sana
Na kataa rushwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na sms za uchaguzi nazo n km ugomvi kipindi hchi[emoji28]
Wale wa kataa rushwa unawablock vp..Yaani mimewaweka scam Hadi wale wanaotuma sms za kataa rushwa,
SIPENDI UPUUZI.
Sasa uwe na laini ya halotel na tigo kwenye simu moja hapo ndio utachoka zaidi. Unashangaa kwa siku unapata msg za hovyo zaidi ya 10. Vitangazo uchwara viko viiingi. Pumbafu kabisa.Habari ndugu wanajamvi.
nitoe pole pole za dhati kwa watanzania WOTE ,kutokana na msiba na janga La kuanguka kwa jengo La kariakoo.
Baada ya pole hiyo, nipende kutoa malalamiko YANGU kwenda kwa mtandao WA laini za simu, kampuni ya HALOTEL.
Kampuni hii imeshindwa kulinda wateja wake kwa kuruhusu ,watu tusio watambua kututumia meseji za UGANGA,KUJIUNGA FREEMASON,TUMA NAMBA HII,KUUNGANISHWA NA HUDUMA biła ridhaa yetu,mfano-HALOSOKA,na sms zingine zinazoendana na hizo.
Jambo hili La kupokea jumbe za namna hiyo kupitia laini ya halotel,limekuwa mara kwa mara likijitokeza na kuwa kero kwa baadhi yetu.
HII ni tofauti na mitandao mingine ambayo meseji za namna hiyo ni agharabu kuziona.
Natoa Lai kwa mtandao WA halotel ,kupambana kututatulia jambo Ili na kuzuia namba zetu kuweza kujulikana na watu hao wanaotutumia jumbe biła lidhaa yetu.
Asanteni