Halotel mjitafakari mmebakia nyie

Wahusika wa sms hizo ni wenyewe...sasa wataondoaje
 
Kweli sana sana halmashauri hizi huwa wanafanya huo mchezo sana
 
Yaani mimewaweka scam Hadi wale wanaotuma sms za kataa rushwa,

SIPENDI UPUUZI.
Wale wa kataa rushwa unawablock vp..
Aisee naumia ccm washenzi wanaonga watu alafu wanasema kataa rushwa
 
Sasa uwe na laini ya halotel na tigo kwenye simu moja hapo ndio utachoka zaidi. Unashangaa kwa siku unapata msg za hovyo zaidi ya 10. Vitangazo uchwara viko viiingi. Pumbafu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…