Halotel ni wezi, wakimbieni!

Ushawah jiuliza kuna menu unaingia unakuta 1Gb kwa tsh 1000 na lain hio hio unaenda menu ingne unakuta 1Gb kwa buku jero 😁 kwann? Huoni kuna moja imesetiwa haiesabu real 1GB
sijui kwanini wanafanya ivyo, ila hakuna wizi wa MBs
ni vizuri ukatetea kwa kutumia ushahidi wa namba,
OS za simu(au PC) zina rejista MBs kadiri unavyotumia na mda, unaweza kompea na MBs ulizounga na kujua mbivu/mbichi na mda husika
kuja kuropoka na kusema unaibiwa, huo ni mhemko
 
Mkuu nilidhani ni huku kijijini, majuzi nilitembelea rafiki yangu jijini Mwanza nimekuta napo hali ni vile vile; wamezima mtandao kabisa!
Maskini ttcl ndio wanajifia hivi! Au Rostam Aziz kawafurusha kwenye minara ya Tigo maana walikuwa wanatumia minara ya Tigo kwa baadhi ya maeneo!
 
Mimi nilijiunga kifurushi cha wiki kwenye kampuni fulani lakini ndani ya dakika moja nikaambiwa "kifurushi chako kimeisha" yaani within one hour toka ninunue kifurushi cha wiki.
Huwa unazima data unapokuwa hutumii internet au unajiachia tuu mkuu??
 
Funguka basi tujue huo wizi wao?
 
Sijui kwanini ni kweli linaenda kasi unashangaa mb zimeisha haraka mnoo,, itakuwa wameanza uwizi
 
Tanzania kutumia internet na kupiga siku ni anasa-halafu na Serikali IPO na wananchi tupo,no body care.
 
Mgano hawa vodacom huwa najiunga kifurushi cha 5000 kwa wiki-hizo dakika utazo pewa utakuta zinamchanganuo ambayo sio sawia kabisa.Watakupa dakika za kupiga siku Voda kwa Vida chache na zile za mitandao mingenie wanakupa dakika nyingi,mwishiwe ukiongea na ndugu/jamaa anayetumia voda ukiongea na kama watu 5-6. Dakika zimeisha.
Sababi ya kufsnya hivyo,wanajua fika watumiaji wengi wapo voda.
 
Mimi mbona natumia vizuri tu, bando la week la buku mbiki natumia mpaka siku 6
 
Huna pa kukimbilia. Hao wote huwa wanakaa vikao ili wawanyonye kwa pamoja ili isije ikatokea mmoja wao akajifanya mwema sana akawaharibia wengine biashara.
Kila utakapokwenda wembe ni ule ule



Ni kweli kabisa.

Cha kushangaza Waziri mwenye zamani hivi ni Nape sijui?! Anasimama upande wa hao service providers badala ya kusimama upande wa wananchi in the first place Katika kushughulikia kero za zinazowakabili wananchi .
Inashangaza sana!

Ni kama ilivyo Kwa kampuni zinazouza mafuta (Fuel).

Oligopoly ni mzigo pia apart from Monopoly form of doing business to wananchi!
 
Funguka basi tujue huo wizi wao?
KwMba technology kwenu ipo chini sana huwezi waza mtu ana set pale ikuoneshe 1Gb ila system imekupa labda mb 800?

Jarbu kuangalia data usage ya simu yako compare na ya internet provider wako kama zinakaribiana ku match
 
Hamieni airtel hamtojutia kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…