Halotel ni wezi, wakimbieni!

Halotel ni wezi, wakimbieni!

Ushawah jiuliza kuna menu unaingia unakuta 1Gb kwa tsh 1000 na lain hio hio unaenda menu ingne unakuta 1Gb kwa buku jero 😁 kwann? Huoni kuna moja imesetiwa haiesabu real 1GB
sijui kwanini wanafanya ivyo, ila hakuna wizi wa MBs
ni vizuri ukatetea kwa kutumia ushahidi wa namba,
OS za simu(au PC) zina rejista MBs kadiri unavyotumia na mda, unaweza kompea na MBs ulizounga na kujua mbivu/mbichi na mda husika
kuja kuropoka na kusema unaibiwa, huo ni mhemko
 
Ttcl sijui inataka kujifia?
Maana kutopatikana kwa network Kwa masaa mengi limekuwa ni jambo la kawaida siku hizi [emoji848][emoji848]

Inauma sana.

Imagine mtu anataka huduma labda ya Bolt/Uber taxi aende hospitali lakini TTCL wamekata mtandao na hakuna mbadala wa usafiri mwingine si ni mtihani mkubwa huo?!

TTCL mnakwaza sana [emoji57][emoji57][emoji18]
Mkuu nilidhani ni huku kijijini, majuzi nilitembelea rafiki yangu jijini Mwanza nimekuta napo hali ni vile vile; wamezima mtandao kabisa!
Maskini ttcl ndio wanajifia hivi! Au Rostam Aziz kawafurusha kwenye minara ya Tigo maana walikuwa wanatumia minara ya Tigo kwa baadhi ya maeneo!
 
Mimi nilijiunga kifurushi cha wiki kwenye kampuni fulani lakini ndani ya dakika moja nikaambiwa "kifurushi chako kimeisha" yaani within one hour toka ninunue kifurushi cha wiki.
Huwa unazima data unapokuwa hutumii internet au unajiachia tuu mkuu??
 
Ficha upumbavu wako nimefanya kazi mtandao mmoja wa simu kitengo flani kwa mwaka mmoja najua wizi unaofanyika

Ushawah jiuliza kuna menu unaingia unakuta 1Gb kwa tsh 1000 na lain hio hio unaenda menu ingne unakuta 1Gb kwa buku jero [emoji16] kwann? Huoni kuna moja imesetiwa haiesabu real 1GB
Funguka basi tujue huo wizi wao?
 
Sijui kwanini ni kweli linaenda kasi unashangaa mb zimeisha haraka mnoo,, itakuwa wameanza uwizi
 
Tanzania kutumia internet na kupiga siku ni anasa-halafu na Serikali IPO na wananchi tupo,no body care.
 
Mgano hawa vodacom huwa najiunga kifurushi cha 5000 kwa wiki-hizo dakika utazo pewa utakuta zinamchanganuo ambayo sio sawia kabisa.Watakupa dakika za kupiga siku Voda kwa Vida chache na zile za mitandao mingenie wanakupa dakika nyingi,mwishiwe ukiongea na ndugu/jamaa anayetumia voda ukiongea na kama watu 5-6. Dakika zimeisha.
Sababi ya kufsnya hivyo,wanajua fika watumiaji wengi wapo voda.
 
Mimi mbona natumia vizuri tu, bando la week la buku mbiki natumia mpaka siku 6
 
Huna pa kukimbilia. Hao wote huwa wanakaa vikao ili wawanyonye kwa pamoja ili isije ikatokea mmoja wao akajifanya mwema sana akawaharibia wengine biashara.
Kila utakapokwenda wembe ni ule ule



Ni kweli kabisa.

Cha kushangaza Waziri mwenye zamani hivi ni Nape sijui?! Anasimama upande wa hao service providers badala ya kusimama upande wa wananchi in the first place Katika kushughulikia kero za zinazowakabili wananchi .
Inashangaza sana!

Ni kama ilivyo Kwa kampuni zinazouza mafuta (Fuel).

Oligopoly ni mzigo pia apart from Monopoly form of doing business to wananchi!
 
Funguka basi tujue huo wizi wao?
KwMba technology kwenu ipo chini sana huwezi waza mtu ana set pale ikuoneshe 1Gb ila system imekupa labda mb 800?

Jarbu kuangalia data usage ya simu yako compare na ya internet provider wako kama zinakaribiana ku match
 
Nilikuwa mtumiaji mzuri sana wa mtandao wa Vodacom. Baadae wakaja kupandisha bei za vifurushi vyao kwa kiwango kikubwa. Niliendelea kutumia Vodacom kwa matumizi yangu makubwa na kidogo laini ya Halotel. Baadae nikaja kushtuka Vodacom ukiwa mteja mzuri wanakupandishia bei, vifurushi vyako vinakuwa vya gharama zaidi kuliko wanaotumia kwa kusua sua. Nikaacha au kupunguza sana kuweka vocha na kununua bando kwenye Vodacom.

Nikahamia Halotel. Vifurushi vyao havikuwa na gharama sana kama Vodacom, ila speed yao ya intanet haikuwa na uwezo mkubwa kama Vodaocom lakini ilitosha. Karibuni hapa, nao wamepandisha bei za vifurushi nikaona wote ni wale wale. Kilichokuja kunishtua ni bando la halotel kuanza kuisha kwa haraka sana. Bando la wiki halimalizi siku moja. Gb 1 inaisha ndani ya muda mfupi mno kwa matumizi ya kawaida,nikaona kuna kitu hakipo sawa.

Nikasema ngoja nianze kutumia tena Vodacom, kuanzia juzi najiunga mabando ya Vodacom tu. Huwa nanunua vocha kutoka App ya NMB, bila intanet hununui vocha kwenye app. Kwa kuwa sasa nimeseti matumizi yangu yote kwenda laini ya vodacom, nikanunua vocha ya 1000 kwenye laini ya halotel ikae standby ili bando likikata kwenye voda nitumie hii buku kununulia vocha kwenye App ya NMB. Bila matumizi yeyote niliyofanya kwenye halotel asubuhi hii wamekata 200 kwenye ile buku niliyoweka standby, nakuta kuna Tsh 800 tu.​
Hamieni airtel hamtojutia kwa kweli
 
Back
Top Bottom