Hama hama ya viongozi wa CHADEMA inarudisha nyuma hamasa ya vijana kuupambania upinzani

Hama hama ya viongozi wa CHADEMA inarudisha nyuma hamasa ya vijana kuupambania upinzani

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Siku alipohama Dkt. Slaa, vijana wengi wa CHADEMA walivunjika moyo. Na ndiyo ikawa mwanzo wa kupungua kwa kishindo na nguvu ya maandamano ya CHADEMA.

Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.

Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa CHADEMA.

Lakini usajili wa leo wa Msigwa ndani ya CCM umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.

Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga CCM.

Ni hayo tu!

Soma ===>> Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
 
Siku alipohama Dr. Slaa, vijana wengi wa chadema walivunjika moyo. Na ndiyo ikawa mwanzo wa kupungua kwa kishindo na nguvu ya maandamano ya chadema.

Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.

Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa chadema.

Lkn usajili wa leo wa Msigwa ndani ya ccm umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.

Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga ccm.

Ni hayo tu!
Kwani Hoa wakina LISU, Mnyika ,Mbowe ndio upinzani? rudu Darasani kasome maana ya upinzania, make inaonekana unawategemea watu sana. Usishangae movement ya kuondoa utawala huu ikaja kuanzishwa hata na Mchoma mkaaa, au Mvuvi,

Mmewekeza sana kwenye watu, na ndio maana wale Gener Z hawataki kusikia hata wakina Raila Odinga.

Sasa endeleeni kuwekeza kwenye mtu badala ya Ideology yenyewe.
 
Kuna vitu vinasikitisha sana nchi hii.

Hakuna kitu kinakera kama ujinga huu wa kina Msigwa. Nimemdharau sana
Mkuu Upinzani ni Ideology na kamwe huwezi ua Ideology angalia anacho fanya Mpina utaelewa, Upinzani sio chama cha Siasa.

Bahati mbaya Bongo tunaacha Ideology na tunategemea watu. na by the way huwezi ua Ideology mkuu. Kule Saudi Arabia utawala ni wa Kifarume ila kuna Upinzani na hakuna Chama cha siasa, sasa upinzani unatoka wapi? China kuna Upinzania na Chama ni kimoja tu cha Kokomonist
 
Siku alipohama Dkt. Slaa, vijana wengi wa CHADEMA walivunjika moyo. Na ndiyo ikawa mwanzo wa kupungua kwa kishindo na nguvu ya maandamano ya CHADEMA.

Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.

Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa CHADEMA.

Lakini sajili wa leo wa Msigwa ndani ya CCM umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.

Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga CCM.

Ni hayo tu!

Soma ===>> Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Msigwa kuhamia CCM kunatokana na ombi la mjane dada yake.
 
Upinzani ni Ideology mkuu sujui ni lini mtaelewa hili, Upinzani sio Political Party. Kama mnawaza hivyo mtachelewa sana kupara mabadiliko.
BLACK MOVEMENT punguza hasira. Kusema kuwa upinzani siyo political party bali ni ideology huwezi kueleweka kwenye uga wa wajuvi wa mambo.

Watu wenye ideology inayofanana ndiyo wanatengeneza kundi liitwalo chama. Wakiondoka hao watu hakuna chama.
 
Kwani Hoa wakina LISU, Mnyika ,Mbowe ndio upinzani? rudu Darasani kasome maana ya upinzania, make inaonekana unawategemea watu sana. Usishangae movement ya kuondoa utawala huu ikaja kuanzishwa hata na Mchoma mkaaa, au Mvuvi,

Mmewekeza sana kwenye watu, na ndio maana wale Gener Z hawataki kusikia hata wakina Raila Odinga.

Sasa endeleeni kuwekeza kwenye mtu badala ya Ideology yenyewe.
Hahaha kweli aisee gen Z wanasema wao hawana kiongozi wanaosema ni viongozi wao Kuna kitu wanakitafuta na mda sio mrefu watashughulikiwa🤣🤣🤣🤣
 
Chadema ingekufa kama hao wanaohama wangekuwa na uzito huo unaosema, mtu kuhama ni haki yake sioni tatizo hapo, tatizo lipo kwenu mnaoshangaa mtu kutimiza haki yake.
Hapana mkuu. Siasa ni Imani. Mtu anapokuwa kigeugeu kwa kile anachoamini ujue kuna shida
 
Siku alipohama Dkt. Slaa, vijana wengi wa CHADEMA walivunjika moyo. Na ndiyo ikawa mwanzo wa kupungua kwa kishindo na nguvu ya maandamano ya CHADEMA.

Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.

Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa CHADEMA.

Lakini sajili wa leo wa Msigwa ndani ya CCM umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.

Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga CCM.

Ni hayo tu!

Soma ===>> Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Potentially kila mtanzania ni mwanachama wa CCM ni suala la muda tu hasa mtu anapoporomoka kimadaraka huko kunakoitwa upinzani.

Kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kusema: binadamu angekuwa hana tumbo angekuwa mtu mzuri sana.
 
Back
Top Bottom