Siku alipohama Dkt. Slaa, vijana wengi wa CHADEMA walivunjika moyo. Na ndiyo ikawa mwanzo wa kupungua kwa kishindo na nguvu ya maandamano ya CHADEMA.
Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.
Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa CHADEMA.
Lakini usajili wa leo wa Msigwa ndani ya CCM umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.
Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga CCM.
Ni hayo tu!
Soma ===>> Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.
Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa CHADEMA.
Lakini usajili wa leo wa Msigwa ndani ya CCM umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.
Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga CCM.
Ni hayo tu!
Soma ===>> Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM