KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Ideology ndiyo inatengeza chama ndugu. Usipotoshe.Upinzani sio Chama ni Ideology
Hao generation Z ndiyo chama chenyewe, maana wanaamini na kunia mamoja. Ni vile tu hawajasajiliwa na kuchagua viongozi wao.Mkuu Upinzani ni Ideology na kamwe huwezi ua Ideology angalia anacho fanya Mpina utaelewa, Upinzani sio chama cha Siasa.
Bahati mbaya Bongo tunaacha Ideology na tunategemea watu. na by the way huwezi ua Ideology mkuu. Kule Saudi Arabia utawala ni wa Kifarume ila kuna Upinzani na hakuna Chama cha siasa, sasa upinzani unatoka wapi? China kuna Upinzania na Chama ni kimoja tu cha Kokomonist
Lakini kwenye demokrasia haya mambo huwa yanatokea kwa maana kwamba kila mtu ana uhuru wa kuamua kufanya jambo ambalo linaleta amani na faraja katika maisha yake. Inabidi tu tuvumilie hali kama hii, lakini kwa upande mwingine tukiwa na upinzani tunapata balance: kuna mambo yatakayotoka upande huu na mengine upande ule, then ukiweka pamoja unapata kitu kamili. Hivyo, kuhama vyama ni jambo la kawaida kabisa.Siku alipohama Dkt. Slaa, vijana wengi wa CHADEMA walivunjika moyo. Na ndiyo ikawa mwanzo wa kupungua kwa kishindo na nguvu ya maandamano ya CHADEMA.
Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.
Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa CHADEMA.
Lakini sajili wa leo wa Msigwa ndani ya CCM umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.
Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga CCM.
Ni hayo tu!
Soma ===>> Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Hata nawe kuna wakati unakuwa kigeugeu kwenye harakati zako maishani, hao wanasiasa ni wanadamu kama mimi nawe, msiwachukulie kama robots mnakosea, wanatimiza haki yao kisheria acheni kuwa madikteta kwa maamuzi binafsi ya wengine.Hapana mkuu. Siasa ni Imani. Mtu anapokuwa kigeugeu kwa kile anachoamini ujue kuna shida
Maumivu ya Msigwa yanakaribia yale ya dr. SlaaMsigwa ameniuma sana.
Bora kuzaliwa paka ulaya utakuwa na akili kuliko wana siasa wa tzKuna vitu vinasikitisha sana nchi hii.
Hakuna kitu kinakera kama ujinga huu wa kina Msigwa. Nimemdharau sana
Kuhama chama kwa mtu ambaye ametangulizwa mbele kama kiongozi wa ideology (chama) inavunja maana na uwepo wa chama hicho.Hivyo, kuhama vyama ni jambo la kawaida kabisa.
Siyo kweli, labda ulete definition mpya ya political party.Upinzani ni Ideology mkuu sujui ni lini mtaelewa hili, Upinzani sio Political Party. Kama mnawaza hivyo mtachelewa sana kupara mabadiliko.
Bora kuzaliwa funza Ulaya kuliko kuwa mtanzania.Bora kuzaliwa paka ulaya utakuwa na akili kuliko wana siasa wa tz
Ndiyo reality we have to cope with kwa sababu hatuwezi kuizuia. Si hata wengine huwa wanahama kutoka chama tawala? Kwa upande wangu, pamoja na kwamba natamani tuwe na strong opposition, lakini pia ndiyo aina ya watu wetu tulionao. So, we have to bear with them.Kuhama chama kwa mtu ambaye ametangulizwa mbele kama kiongozi wa ideology (chama) inavunja maana na uwepo wa chama hicho.
Wahame wanachama wa kawaida hapo sawa.
Hebu angalia hii orodha ya waliohama:-Mashinji, Katambi, Dr. Slaa, na Msigwa. Mwanachama wa kawaida inakuwaje?
Uko sahihi. Hii hama hama inaonesha jinsi watanzania walivyo vigeugeu, hawasimamii kile wanachokiamini. Leo kasema hivi kesho anakikana. Wanaohama ni reflection ya tabia zetu watanzania.Ndiyo reality we have to cope with kwa sababu hatuwezi kuizuia. Si hata wengine huwa wanahama kutoka chama tawala? Kwa upande wangu, pamoja na kwamba natamani tuwe na strong opposition, lakini pia ndiyo aina ya watu wetu tulionao. So, we have to bear with them.
Iko hivi, watu watapoteza hamasa kwa vyama vya siasa, lakini hakuna uwezekano wa kuondoa upinzani. Kwa hiki kinachoendelea kwa hizi hama hama kama za kina Msigwa, zinafanya watu wengi kupuuza siasa za vyama. Na kwa bahati mbaya sana hali hii haiwafaidishi hata ccm, bali kuzipuuza jumla siasa za vyama.Siku alipohama Dkt. Slaa, vijana wengi wa CHADEMA walivunjika moyo. Na ndiyo ikawa mwanzo wa kupungua kwa kishindo na nguvu ya maandamano ya CHADEMA.
Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.
Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa CHADEMA.
Lakini usajili wa leo wa Msigwa ndani ya CCM umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.
Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga CCM.
Ni hayo tu!
Soma ===>> Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Sure. Inabidi tujitafakari upya. Lakini recently nimejifunza to turn challenges into opportunities (not to allow negative things to hurt me). Au niseme to build on positive things I see in other people. Mara nyingi mambo ambayo ni hasi yanatawala nafsi zetu na yale positive yanakosa nafasi. Ni vigumu kuwa positive, lakini tukifaulu kufanya hivyo ni better kuliko kuwa negative au kuchukia.Uko sahihi. Hii hama hama inaonesha jinsi watanzania walivyo vigeugeu, hawasimamii kile wanachokiamini. Leo kasema hivi kesho anakikana. Wanaohama ni reflection ya tabia zetu watanzania.
Uko sahihi mkuu.Iko hivi, watu watapoteza hamasa kwa vyama vya siasa, lakini hakuna uwezekano wa kuondoa upinzani. Kwa hiki kinachoendelea kwa hizi hama hama kama za kina Msigwa, zinafanya watu wengi kupuuza siasa za vyama. Na kwa bahati mbaya sana hali hii haiwafaidishi hata ccm, bali kuzipuuza jumla siasa za vyama.
Uache kupambania maisha Yako uanze kupambania kina Mbowe na genge lake?Siku alipohama Dkt. Slaa, vijana wengi wa CHADEMA walivunjika moyo. Na ndiyo ikawa mwanzo wa kupungua kwa kishindo na nguvu ya maandamano ya CHADEMA.
Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.
Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa CHADEMA.
Lakini usajili wa leo wa Msigwa ndani ya CCM umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.
Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga CCM.
Ni hayo tu!
Soma ===>> Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM