Hama hama ya watangazaji wa radio za Bongo, maana yake ni nini!?

Hama hama ya watangazaji wa radio za Bongo, maana yake ni nini!?

Radio one wamekuwa tuu rtd ya sku hiz, ila ubahili wa Mengi ipo cku uta mcost aki
 
The same to me nigger..... Ile team kwa kweli ilikuwa inatii kiuu za burudani hasa usiku ghetton wakat nacheza na computer yangu nimetune in East Africa radio.....
Wanakimbilia clouds kwa kuwa upewaga posho ya 20000 kila baada ya kipind

Ila jana nimesikiliza Jr junior kakitendea haki kipind he is such a talented

Naipenda east Africa radio kwa sababu mpangilio wa program is so classic uwez choka kusikiliza


Ni kweli mkuu ila hata dj summer ni mzuri sana, but ea redio nawakubali kunavichwa vyenye vipaji vitaletwa pale ambavyo hata havijulikan hadi mwenyewe utashangaa.

hivi kweli jahaz inaweza fikia ubora wa kipindi cha eadrive?
na ukichek mapresenter wake hawana majina makubwa kama wale wa jahaz.
 
Ni kweli mkuu ila hata dj summer ni mzuri sana, but ea redio nawakubali kunavichwa vyenye vipaji vitaletwa pale ambavyo hata havijulikan hadi mwenyewe utashangaa.

hivi kweli jahaz inaweza fikia ubora wa kipindi cha eadrive?
na ukichek mapresenter wake hawana majina makubwa kama wale wa jahaz.
EA Radio ni wazuri sana kutafuta watangazaji wazuri, tatizo hao watangazaji wenyew hawadumu. Ni kama wanawatafutia wenzao haswa clouds watangazaji! ! Kuanzia akina Mafuvu, Kennedy the remedy, Sinyorita etc walikua hawajulikani, ila wakawachukua na kuwapa nafasi na wakafanya vizuri. Wenzao kuona vijana wapo vizuri wakawapandia dau., Sasa kama watakua wanapoteza watangazaji wao mahiri kila mara ina maana watakua hawaendi mbele.. wanasogea kidogo wakishaanza kushika mwendo wanarudi nyuma.
Ili wapate matangazo mengi ya kibiashara pamoja na kuvutia wasikilizaji wanatakiwa watangazaji wao walio onyesha kupata fan base kubwa kudumu nao, hapo ndio wataona maendeleo., la sivyo watakua wanawafanyia kazi wenzao tu.
Ili kuwaridhisha wapenzi wao waliopatwa na huzuni kwa kuondoka kwa Dj Sinyorita na Mami, angalau wamrudishe Dj Mafuvu, inaonekana bado anapenda kufanya kazi EA Radio Ili kumsaidia Summer, huyo ommy crazy hasomeki anafanya nin! !.
 
EA Radio ni wazuri sana kutafuta watangazaji wazuri, tatizo hao watangazaji wenyew hawadumu. Ni kama wanawatafutia wenzao haswa clouds watangazaji! ! Kuanzia akina Mafuvu, Kennedy the remedy, Sinyorita etc walikua hawajulikani, ila wakawachukua na kuwapa nafasi na wakafanya vizuri. Wenzao kuona vijana wapo vizuri wakawapandia dau., Sasa kama watakua wanapoteza watangazaji wao mahiri kila mara ina maana watakua hawaendi mbele.. wanasogea kidogo wakishaanza kushika mwendo wanarudi nyuma.
Ili wapate matangazo mengi ya kibiashara pamoja na kuvutia wasikilizaji wanatakiwa watangazaji wao walio onyesha kupata fan base kubwa kudumu nao, hapo ndio wataona maendeleo., la sivyo watakua wanawafanyia kazi wenzao tu.
Ili kuwaridhisha wapenzi wao waliopatwa na huzuni kwa kuondoka kwa Dj Sinyorita na Mami, angalau wamrudishe Dj Mafuvu, inaonekana bado anapenda kufanya kazi EA Radio Ili kumsaidia Summer, huyo ommy crazy hasomeki anafanya nin! !.

safi mkuu huu ni ushauri mzuri sana, kama hao earadio watakua wanapitapita humu naomba waufanyie kazi ili kukata kiu yamashabiki wao.
 
Mtu kama Hando hakupaswa kuingia kwenye hili wimbi la kuhamahama.....alisha grow sana.....alipaswa sasa hivi aanze kufikiria kuwa na hisa pale clouds.

Hiyo redio yenyewe aliyoikimbilia imemfanya apotee hewani......ni sawa na mwanafunzi aliyefaulu vizuri kidato cha nne alafu anarudi kuanza form one.
 
Mmmmm huku Songea tunakosa kusikia radha za wahamaji
 
Dj Ommy crazy mshamba sio mshamba shoga sio shoga kote kote anafit. Sijui waliokota wapi ile kituko Dj anafosi kujulikana alafu hana damu ya kupendwa Mafuvu alikuwa Dj haswa.
hakika walichokosea EATV ni kumuacha mafuvu, jamaa alikuwa so talented... sasa huyu waliyemleta daah yaan anakera
 
Radio one wamekuwa tuu rtd ya sku hiz, ila ubahili wa Mengi ipo cku uta mcost aki
Hivi pale Mengi ndo ana supervise kampuni au !? Wakuliona tatizo ni viongozi ,sasa kama wameridhika yule mzee afanye nini zaidi ya kula maisha na babe wake? Hata wafanyakazi kama wametulia nani ataelewa shida zao!?!?
 
Mtu kama Hando hakupaswa kuingia kwenye hili wimbi la kuhamahama.....alisha grow sana.....alipaswa sasa hivi aanze kufikiria kuwa na hisa pale clouds.

Hiyo redio yenyewe aliyoikimbilia imemfanya apotee hewani......ni sawa na mwanafunzi aliyefaulu vizuri kidato cha nne alafu anarudi kuanza form one.
Unajua sababu zilizo mtoa au una comment tu?
 
Ni kweli mkuu ila hata dj summer ni mzuri sana, but ea redio nawakubali kunavichwa vyenye vipaji vitaletwa pale ambavyo hata havijulikan hadi mwenyewe utashangaa.

hivi kweli jahaz inaweza fikia ubora wa kipindi cha eadrive?
na ukichek mapresenter wake hawana majina makubwa kama wale wa jahaz.
Ili swali aje kujibu msikilizaji wa jahazi.. Wewe kula na like hii tena
 
Hivi pale Mengi ndo ana supervise kampuni au !? Wakuliona tatizo ni viongozi ,sasa kama wameridhika yule mzee afanye nini zaidi ya kula maisha na babe wake? Hata wafanyakazi kama wametulia nani ataelewa shida zao!?!?
Mengi ndo mkurugenzi mtendaji, kwa hyo kwenye lawama hakosi
 
ChoiceFM wanasema #NnaHasira.

EFM wanasema #HuuMchezoHauhitajiHasira.

Hivi hii ni coincidence tu au mambo ya taarabu?
 
Daaaah!!!
Kiukweli EA radio/tv wamrudishe dj Senyorita yule dada kwa burudani tu wengi alikuwa ametukamata aisee.

Ila watangazaji nao wakati mwingine wanatakiwa kuwa makini, mtu unaweza kung'aa kwenye kipindi flani but ukihamia kwengine tu unafifia. Senyorita EA ndio kwake bhana huko mawingu hata hainogi kiivo yaani wakimtaja wala sistuki kabisa.
 
Daaaah!!!
Kiukweli EA radio/tv wamrudishe dj Senyorita yule dada kwa burudani tu wengi alikuwa ametukamata aisee.

Ila watangazaji nao wakati mwingine wanatakiwa kuwa makini, mtu unaweza kung'aa kwenye kipindi flani but ukihamia kwengine tu unafifia. Senyorita EA ndio kwake bhana huko mawingu hata hainogi kiivo yaani wakimtaja wala sistuki kabisa.
mkuu umeona eee

Dj ommy crazy anaboa ukimsikiliza FNL anakera sana bora yule Dj demu aiseee yupo vizuri sana
 
Back
Top Bottom