Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ili aendelee kuwa Mwenyekiti wa Uvccm hakutakiwa kuzidi umri wa Miaka 30 kwa utaratibu wa wakati ule (Niko tayari kusahihishwa), labda Wabadili kipindi hiki.
Baada ya kuona Umri unamtupa Mkono Bwana Masauni aliamua kufake umri kwa kuboresha taarifa za tarehe ya kuzaliwa kwake na kusogeza kutoka 1973 hadi 1979 (Hapa napo niko tayari kusahihishwa), Baada ya Mahasimu wake kujua hili wakamchoma, Akaondolewa kwenye kinyang'anyiro na kutimuliwa, Akaja kuokolewa na Kikwete kwa kuteuliwa Mbunge wa Viti maalum, Natumaini hakuna aliyesahau kashfa ile na Kama Masauni anabisha ajitokeze JF kubisha, Ushahidi kuhusu jambo hili umejaa hapa hapa JF.
Kwa kiongozi anayefoji mambo ili apewe kipaumbele hafai kuteuliwa popote, Na hasa kwenye Wizara nyeti kama ya Mambo ya Ndani, Hii yaweza kuwa sababu ya Hamad Masauni kushindwa Kuongoza wizara hii, Uwezo wake ni mdogo mno.
Soma Pia: Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
Mwl Nyerere aliwahi kusema hivi, Nanukuu, "Kama unampenda mtu kwa sababu ya sura yake basi nenda kanywe naye Chai, Mwisho wa kunukuu.
Baada ya kuona Umri unamtupa Mkono Bwana Masauni aliamua kufake umri kwa kuboresha taarifa za tarehe ya kuzaliwa kwake na kusogeza kutoka 1973 hadi 1979 (Hapa napo niko tayari kusahihishwa), Baada ya Mahasimu wake kujua hili wakamchoma, Akaondolewa kwenye kinyang'anyiro na kutimuliwa, Akaja kuokolewa na Kikwete kwa kuteuliwa Mbunge wa Viti maalum, Natumaini hakuna aliyesahau kashfa ile na Kama Masauni anabisha ajitokeze JF kubisha, Ushahidi kuhusu jambo hili umejaa hapa hapa JF.
Kwa kiongozi anayefoji mambo ili apewe kipaumbele hafai kuteuliwa popote, Na hasa kwenye Wizara nyeti kama ya Mambo ya Ndani, Hii yaweza kuwa sababu ya Hamad Masauni kushindwa Kuongoza wizara hii, Uwezo wake ni mdogo mno.
Soma Pia: Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
Mwl Nyerere aliwahi kusema hivi, Nanukuu, "Kama unampenda mtu kwa sababu ya sura yake basi nenda kanywe naye Chai, Mwisho wa kunukuu.