CALIPSO:
Nimefurahi sana maelezo ya Mh Zitto..
Sasa Hamad Rashid anaenda chadema? kule pemba utamweleza nini mtu kuhusu Cuf? Tambwe sasa anasema uongo mtupu,kule Bukoba tumeskia Lwakatare naye tayari anazungumza uongo mtupu,sasa na Hamad Rashid ataweza kuongea uongo? ninavofahamu mimi kwa historia iliyopo ukitoka Cuf kama umejilani mwenyewe,tumeona Mapalala,nyaruba,ramadhan mzee,salum msabah,tambwe wako wapi hivi sasa,unajua ukiwa mkweli utang'aa na ukiwa mnafiki ipo siku utakwisha tu.. kama mimi siamini kama anaweza kutoka Cuf,na si yeye pekee,kwa upande wa znz wananchi kule wana uhakika na baadhi ya watu wao ktk Cuf kwa upande wa znz,kwa mfano Hamad rashid,Maalim seif,nasor khamis,abubakar khamis,Machano,juma duni na wengine wametangulia mbele ya hakki,hawa watu wameapishana kuwa watakuwa wapo pamoja ktk kuitetea znz mpaka mauti yao yawafike.. SASA HII HABARI SIJUI MAANA HUMU NDANI TUMEINGILIWA HIVI SASA,INAWEZEKANA LABDA,ACHA TUONE..