Hamad Rashid na Waziri Mkuu Kulikoni????????

Mtu wa Pwani

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2006
Posts
4,191
Reaction score
677


wanazungumzia nn, au ndio ile mipango ya kuibana Chadema bungeni?




naona hapa anamkumbusha zaidi kuhusu bwana mdogo wa Mbowe?
 
sasa unataka kutwambia kuwa anapewa cha kwenda kusema kwenye media?

yaani anachukua maelekezo kwa bosi wake?
 
Hapo anaambiwa baada ya kufanikiwa kutusambaratishia cuf sasa tunakukabidhi na chadema.halafu ye anamjibu wale inabidi zitumike mbinu za kiintelijensia vinginevyo wajanja sana wale.
 
Mmmh hiyo suruali ya Pinda imekaa vipi kwenye picha ya kwanza.
 
Mkuu, Mtu wa Pwani,
Unataka ufurahi kwa kuona wachadema wanafyatua makombora?
Subiri kidogo tu, utasikia mshindo mkuu!!Watashuka kwa hasira hapa...tafuta bisi zako na coke yako, uangalie sinema.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…