Hapo anaambiwa baada ya kufanikiwa kutusambaratishia cuf sasa tunakukabidhi na chadema.halafu ye anamjibu wale inabidi zitumike mbinu za kiintelijensia vinginevyo wajanja sana wale.
Mkuu, Mtu wa Pwani,
Unataka ufurahi kwa kuona wachadema wanafyatua makombora?
Subiri kidogo tu, utasikia mshindo mkuu!!Watashuka kwa hasira hapa...tafuta bisi zako na coke yako, uangalie sinema.....