Mwanakulitafuta,mwanakulipata!Maandamano ya nini tena!Si walianza wao,!Siku ya Sabato.Hamas wasema Ijumaa hii wataitisha maandamano ya nchi za kiarabu kulaani mashambulizi anayofanya Israel huko Gaza tokea jumapili.
Waziri Netanyahu wa Israel alisikika akisema Israel inatarajia kupiga mashambulizi ya kutosha katika Mji wa Gaza yatakayofanya Wapalestina wasiyasahu kwa zaidi ya miaka 50
Kwa upande mwingine Israel inaonesha kujitosa kwa nguvu zote kuishambulia palestina huku Marekani nayo ikiahidi kutoa msaada wa kijeshi
opportunity ya kuyapiga yakiwa yamekusanyikaHamas wasema Ijumaa hii wataitisha maandamano ya nchi za kiarabu kulaani mashambulizi anayofanya Israel huko Gaza tokea jumapili.
Ushahidi?Hamas wasema Ijumaa hii wataitisha maandamano ya nchi za kiarabu kulaani mashambulizi anayofanya Israel huko Gaza tokea jumapili.
Waziri Netanyahu wa Israel alisikika akisema Israel inatarajia kupiga mashambulizi ya kutosha katika Mji wa Gaza yatakayofanya Wapalestina wasiyasahu kwa zaidi ya miaka 50
Kwa upande mwingine Israel inaonesha kujitosa kwa nguvu zote kuishambulia Palestina huku Marekani nayo ikiahidi kutoa msaada wa kijeshi
Waisraeli hawawezi kuwapiga raia, wa mataifa mengi la sivyo watake vita vya tatu vya Dunia... Maana waarabu wanamtamani Israeli kwa muda mrefu, kitendo cha israeli kushambulia waandamanaji tena nchi nyingine itakuwa ni ugomvi mkubwaopportunity ya kuyapiga yakiwa yamekusanyika
Uongo mtupu.Hizo ni taarifa za kiintelijensia
Walichekelea walipoanza sasa wanajibiwa mapigo wanakimbilia kuandamanaHamas wasema Ijumaa hii wataitisha maandamano ya nchi za kiarabu kulaani mashambulizi anayofanya Israel huko Gaza tokea jumapili.
Waziri Netanyahu wa Israel alisikika akisema Israel inatarajia kupiga mashambulizi ya kutosha katika Mji wa Gaza yatakayofanya Wapalestina wasiyasahu kwa zaidi ya miaka 50
Kwa upande mwingine Israel inaonesha kujitosa kwa nguvu zote kuishambulia Palestina huku Marekani nayo ikiahidi kutoa msaada wa kijeshi
Wanapumulia mashine,Hamas jeuri wanayo🤣Waziri Netanyahu wa Israel alisikika akisema Israel inatarajia kupiga mashambulizi ya kutosha katika Mji wa Gaza yatakayofanya Wapalestina wasiyasahu kwa zaidi ya miaka 50
Hayajawahi kuwa mepesi na hayajawahi kuwanyamazisha.Mashambulizi yamekuwa makali
Vita vya urusi na ukrine vimehamia huko!Mashambulizi yamekuwa makali
Hii tunaita mwana kulitafuta mwana kulipataHamas wasema Ijumaa hii wataitisha maandamano ya nchi za kiarabu kulaani mashambulizi anayofanya Israel huko Gaza tokea jumapili.
Waziri Netanyahu wa Israel alisikika akisema Israel inatarajia kupiga mashambulizi ya kutosha katika Mji wa Gaza yatakayofanya Wapalestina wasiyasahu kwa zaidi ya miaka 50
Kwa upande mwingine Israel inaonesha kujitosa kwa nguvu zote kuishambulia Palestina huku Marekani nayo ikiahidi kutoa msaada wa kijeshi