Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Kayataka mwenyewe kupokea Wafu Alipotakiwa tangu mwanzo wafanye ile inayoitwa nipe + nikupe Netanyahu akagoma akidai sikupi na nakuja kuwachukua mwenyewe uko uko raia wangu!!! Mwisho maji ya shingo!!! sasa ndio utamu wa Vita!!!! Kazike !!! namm Nazika!!!! Siku nyengine usichukulie poaa Vita..
 
Netanyahu kayataka mwenyewe wenzake walimwambia usiingie Rafah akasema anaenda kuwaokoa mateka na ataakikisha mateka wote wanarudi salama kiko wapi kapoteza wanajeshi wengi na mateka pia hajui la kufanya anataka kurefusha vita iliendelee kubakia madarakani. Familia za mateka wanakesha nje ya jengo la ofisi yake😂
 
Lete taarifa ya hao kenge wa Hamas kama ahadi yao walitimiza.

GOD BLESS ISRAEL
 
Njaa ikihamia kichwani hapo ndipo inakuwa ni tatizo kubwa sana huyo Jamaa yenu ana Njaa ya kichwani mbaya zaidi ana Njaa ya tumboni hivyo nawaomba mpeni tu sadaka nyingi kama ilivyo kawaida yenu na ujinga wake huo utaisha. Nawasitikia sana waislamu maana wanahangaika sana na WASAKA-TONGĘ.
 
Wewe unajua maana ya Mauaji ya kimbari wewe? Au umefata mkumbo wa Mihemko ya waarabu wanavyosema? Umemezeshwa uongo na wewe umeanza kusema uongo!! Kwa nini usitumie akili yako vizuri???? Haya niambie mauaji ya kimbari yakoje?? Niko pale kwa mwarabu nasubili jibu!,,.
 
Badr Abdelatty, Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, alithibitisha kwamba Cairo 'inaunda' mpango kamili wa ujenzi wa awamu nyingi wa Gaza bila ya kuwahamisha wakazi wa eneo hilo, huku ikijaribu kutoa njia mbadala ya kukabiliana na mpango tata wa kutwaa madaraka wa Rais wa Marekani Donald Trump, kwa mujibu wa gazeti la serikali la Al-Ahram.

Gazeti hilo liliongeza kuwa Misri inatarajia kukamilisha mpango huo "ifikapo wiki ijayo", wakati awamu yake ya kwanza inapaswa kuanza "baada ya mkutano wa dharura wa kilele wa Waarabu huko Cairo", uliopangwa kufanyika Februari 27.

Wakati huo huo, Wizara ya Vita ya Israel inasema kuwa inaunda chombo cha serikali kwa madai ya "kuondoka kwa hiari" kwa Wapalestina kutoka Gaza huku ikiendelea na mpango wa Trump, vyombo vya habari vya Israel viliripoti.


View: https://x.com/qudsnen/status/1891779188761182375?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Tofauti yangu mimi na wewe mimi nakujq na data na fact za kutosha wewe unakuja na porojo na fikra zako
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
According to a United Nations agency and a growing number of experts and rights organisations, including Amnesty International and Human Rights Watch, Israel has committed genocidal acts against the Palestinian people during its ongoing invasion and bombing of the Gaza Strip as part of the Gaza war. Various observers, including the UN Special Committee to investigate Israeli practices and the United Nations Special Rapporteur,[36] have cited statements by senior Israeli officials that may indicate an "intent to destroy" Gaza's population in whole or in part, a necessary condition for the legal threshold of genocide to be met.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Wewe Muisrael mweusi wa Makete bofya hapa chini…👇🏽
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…